Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni vizuri kujua mkuuKama mnapata mpaka mda wa kuulizana ma ex inaonekana how immature you are
That is childishly
Soma tena comment yanguNi vizuri kujua mkuu
MuacheHabari za wekeend wakuu,
Wakuu naombeni ushauri wenu nina mpenzi wangu nipo kwenye mahusiano nae tangu shule ya msingi, tulivyomaliza O level mimi nikaenda Dar kutafuta maisha na mawasiliano yakakata kutokana na sababu mbali mbali
Nimekaa Dar miaka 6 ndiyo nikarudi mkoani kwangu nikamkuta mpenzi wangu bado hajaolewa tukaendelea na mahusiano
Sasa hivi nataka nimuoe kabisa sasa jana akaniambia anataka kuniambia ukweli baada ya mimi kwenda Dar, alikuwa na mahusiano ya kimapenzi na wanaume 7 kati hao wanaume wake 2 walikuwa wanamsaidia sana akiwaomba hela wanampa tena hela nyingi tu ila ameachana nao baada ya mimi kurudi na ametubu kwa Mungu kwamba hatorudia tena
Je nimuoe au nimuache naombeni ushauri wenu wakuu
Apo ni 7x10mkuuEeeh wapenzi 7 wote hao walikuwa wanamgeuza na kumwinamisha kwa wakati tofauti tofauti..
Unamoyo we mtu.