Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Nakupigia muda si mrefu.....Mimi nipo Kiteto
Tufanye wote kilimo cha mahindi, make kiteto kwa mahindi....hadi raha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakupigia muda si mrefu.....Mimi nipo Kiteto
Bora huyo kakwambia ukweli, anafaa kabisa.Habari za wekeend wakuu,
Wakuu naombeni ushauri wenu nina mpenzi wangu nipo kwenye mahusiano nae tangu shule ya msingi, tulivyomaliza O level mimi nikaenda Dar kutafuta maisha na mawasiliano yakakata kutokana na sababu mbali mbali
Nimekaa Dar miaka 6 ndiyo nikarudi mkoani kwangu nikamkuta mpenzi wangu bado hajaolewa tukaendelea na mahusiano
Sasa hivi nataka nimuoe kabisa sasa jana akaniambia anataka kuniambia ukweli baada ya mimi kwenda Dar, alikuwa na mahusiano ya kimapenzi na wanaume 7 kati hao wanaume wake 2 walikuwa wanamsaidia sana akiwaomba hela wanampa tena hela nyingi tu ila ameachana nao baada ya mimi kurudi na ametubu kwa Mungu kwamba hatorudia tena
Je nimuoe au nimuache naombeni ushauri wenu wakuu
Ok karibu mkuu ndiyo muda huu tunakodi mashambaNakupigia muda si mrefu.....
Tufanye wote kilimo cha mahindi, make kiteto kwa mahindi....hadi raha
Toa ushauri mkuu
Hawezi kuwa yeye tu, ila unayaelewa madhara ya kisaikolojia yatokanayo na mwanamke kuishi na wanaume tofauti tofauti, wenye maumbile tofauti tofauti, tabia tofauti tofauti na vipato tofauti tofauti?Fanya kile.ambacho nafsi yako inakutuma ...
Mpaka uliweza kurudiana nae ina maana unampenda ...
Miaka sita yote hiyo ulijua atakuwa yeye tu
Hivi nirahisi kumkuta demu ambaye hajawahi kuwa na mahusiano? Au tunapenda kuridhishwa na kudanganywa kwamba anamiaka 5 hajawah kuwa na mwanaume😁😁😁Nakushauri achana nae atakuletea magonjwa ma x wengi uwaga atuachane kwa asilimia 100
Nikupe namba yangu mkuu?Nakupigia muda si mrefu.....
Tufanye wote kilimo cha mahindi, make kiteto kwa mahindi....hadi raha
Me ni heri huyu anaefunguka ujue kuliko anayekuficha huku ni kicheche balaaHawezi kuwa yeye tu, ila unayaelewa madhara ya kisaikolojia yatokanayo na mwanamke kuishi na wanaume tofauti tofauti, wenye maumbile tofauti tofauti, tabia tofauti tofauti na vipato tofaiti tofauti?
Tena anaconfess kabisa eti 'walikuwa wananipa hela nyingi tu'!
Huyo anafaa kwa mapenzi ya uhawara na siyo 'future wife', atamsumbua sana maana hawezi kumridhisha.
6 tu ? Duh 🙄Uongo dhambi nimelala na 6
Highly experienced!! Endelea naye tuHabari za wekeend wakuu,
Wakuu naombeni ushauri wenu nina mpenzi wangu nipo kwenye mahusiano nae tangu shule ya msingi, tulivyomaliza O level mimi nikaenda Dar kutafuta maisha na mawasiliano yakakata kutokana na sababu mbali mbali
Nimekaa Dar miaka 6 ndiyo nikarudi mkoani kwangu nikamkuta mpenzi wangu bado hajaolewa tukaendelea na mahusiano
Sasa hivi nataka nimuoe kabisa sasa jana akaniambia anataka kuniambia ukweli baada ya mimi kwenda Dar, alikuwa na mahusiano ya kimapenzi na wanaume 7 kati hao wanaume wake 2 walikuwa wanamsaidia sana akiwaomba hela wanampa tena hela nyingi tu ila ameachana nao baada ya mimi kurudi na ametubu kwa Mungu kwamba hatorudia tena
Je nimuoe au nimuache naombeni ushauri wenu wakuu
Wewe ni MS.NG.E na ni LI.PUMBAVUHabari za wekeend wakuu,
Wakuu naombeni ushauri wenu nina mpenzi wangu nipo kwenye mahusiano nae tangu shule ya msingi, tulivyomaliza O level mimi nikaenda Dar kutafuta maisha na mawasiliano yakakata kutokana na sababu mbali mbali
Nimekaa Dar miaka 6 ndiyo nikarudi mkoani kwangu nikamkuta mpenzi wangu bado hajaolewa tukaendelea na mahusiano
Sasa hivi nataka nimuoe kabisa sasa jana akaniambia anataka kuniambia ukweli baada ya mimi kwenda Dar, alikuwa na mahusiano ya kimapenzi na wanaume 7 kati hao wanaume wake 2 walikuwa wanamsaidia sana akiwaomba hela wanampa tena hela nyingi tu ila ameachana nao baada ya mimi kurudi na ametubu kwa Mungu kwamba hatorudia tena
Je nimuoe au nimuache naombeni
ushauri wenu wakuu
Kwa baadhi yenu wanawake huwa hamuoni taabu mnafunguka tu.Aisee,Ila mapenzi bhana...upo na mtu mwingine unazungumzia mtu mwingine😔🙌
Maana yake yupo tayari kutulia sasa maana amekwisha pata mikunyenge ya kutosha na huko chini hapana Tena ladha yake..Kama pamekuvutia, wewe chonga mzinga na peleka posa. Yeye yupo tayari Ila wewe ndio hujulikani.Habari za wekeend wakuu,
Wakuu naombeni ushauri wenu nina mpenzi wangu nipo kwenye mahusiano nae tangu shule ya msingi, tulivyomaliza O level mimi nikaenda Dar kutafuta maisha na mawasiliano yakakata kutokana na sababu mbali mbali
Nimekaa Dar miaka 6 ndiyo nikarudi mkoani kwangu nikamkuta mpenzi wangu bado hajaolewa tukaendelea na mahusiano
Sasa hivi nataka nimuoe kabisa sasa jana akaniambia anataka kuniambia ukweli baada ya mimi kwenda Dar, alikuwa na mahusiano ya kimapenzi na wanaume 7 kati hao wanaume wake 2 walikuwa wanamsaidia sana akiwaomba hela wanampa tena hela nyingi tu ila ameachana nao baada ya mimi kurudi na ametubu kwa Mungu kwamba hatorudia tena
Je nimuoe au nimuache naombeni ushauri wenu wakuu