Mpenzi wangu amenambia ana ma-ex 7

Mpenzi wangu amenambia ana ma-ex 7

Habari za wekeend wakuu,

Wakuu naombeni ushauri wenu nina mpenzi wangu nipo kwenye mahusiano nae tangu shule ya msingi, tulivyomaliza O level mimi nikaenda Dar kutafuta maisha na mawasiliano yakakata kutokana na sababu mbali mbali

Nimekaa Dar miaka 6 ndiyo nikarudi mkoani kwangu nikamkuta mpenzi wangu bado hajaolewa tukaendelea na mahusiano

Sasa hivi nataka nimuoe kabisa sasa jana akaniambia anataka kuniambia ukweli baada ya mimi kwenda Dar, alikuwa na mahusiano ya kimapenzi na wanaume 7 kati hao wanaume wake 2 walikuwa wanamsaidia sana akiwaomba hela wanampa tena hela nyingi tu ila ameachana nao baada ya mimi kurudi na ametubu kwa Mungu kwamba hatorudia tena

Je nimuoe au nimuache naombeni ushauri wenu wakuu
Bora huyo kakwambia ukweli, anafaa kabisa.

Vipi kama angekudanganya kua tangu uondoke hajawai kuwa na mahusiano si ungeamini, ila kaamua kukuchana ukweli, maana yake kashaungama hata kwa mungu wake na kakiri pia.
 
Fanya kile.ambacho nafsi yako inakutuma ...

Mpaka uliweza kurudiana nae ina maana unampenda ...

Miaka sita yote hiyo ulijua atakuwa yeye tu
Hawezi kuwa yeye tu, ila unayaelewa madhara ya kisaikolojia yatokanayo na mwanamke kuishi na wanaume tofauti tofauti, wenye maumbile tofauti tofauti, tabia tofauti tofauti na vipato tofauti tofauti?

Tena anaconfess kabisa eti 'walikuwa wananipa hela nyingi tu'!

Huyo anafaa kwa mapenzi ya uhawara na siyo 'future wife', atamsumbua sana maana hawezi kumridhisha.
 
Nakushauri achana nae atakuletea magonjwa ma x wengi uwaga atuachane kwa asilimia 100
Hivi nirahisi kumkuta demu ambaye hajawahi kuwa na mahusiano? Au tunapenda kuridhishwa na kudanganywa kwamba anamiaka 5 hajawah kuwa na mwanaume😁😁😁
 
To
Hawezi kuwa yeye tu, ila unayaelewa madhara ya kisaikolojia yatokanayo na mwanamke kuishi na wanaume tofauti tofauti, wenye maumbile tofauti tofauti, tabia tofauti tofauti na vipato tofaiti tofauti?

Tena anaconfess kabisa eti 'walikuwa wananipa hela nyingi tu'!

Huyo anafaa kwa mapenzi ya uhawara na siyo 'future wife', atamsumbua sana maana hawezi kumridhisha.
Me ni heri huyu anaefunguka ujue kuliko anayekuficha huku ni kicheche balaa
 
Habari za wekeend wakuu,

Wakuu naombeni ushauri wenu nina mpenzi wangu nipo kwenye mahusiano nae tangu shule ya msingi, tulivyomaliza O level mimi nikaenda Dar kutafuta maisha na mawasiliano yakakata kutokana na sababu mbali mbali

Nimekaa Dar miaka 6 ndiyo nikarudi mkoani kwangu nikamkuta mpenzi wangu bado hajaolewa tukaendelea na mahusiano

Sasa hivi nataka nimuoe kabisa sasa jana akaniambia anataka kuniambia ukweli baada ya mimi kwenda Dar, alikuwa na mahusiano ya kimapenzi na wanaume 7 kati hao wanaume wake 2 walikuwa wanamsaidia sana akiwaomba hela wanampa tena hela nyingi tu ila ameachana nao baada ya mimi kurudi na ametubu kwa Mungu kwamba hatorudia tena

Je nimuoe au nimuache naombeni ushauri wenu wakuu
Highly experienced!! Endelea naye tu
 
Uwongo uwongo uwongoooooo uwongoooooo uwongoooooo huoooooo aaaah uwongo huo
Uwongo uwongo uwongoooooo
 
"kati hao wanaume wake 2 walikuwa wanamsaidia sana akiwaomba hela wanampa tena hela nyingi tu" Majibu amekupa yeye mwenyewe alafu unakuja kutuuliza swali sisi tena vipi mzee 🤔🤔
 
Habari za wekeend wakuu,

Wakuu naombeni ushauri wenu nina mpenzi wangu nipo kwenye mahusiano nae tangu shule ya msingi, tulivyomaliza O level mimi nikaenda Dar kutafuta maisha na mawasiliano yakakata kutokana na sababu mbali mbali

Nimekaa Dar miaka 6 ndiyo nikarudi mkoani kwangu nikamkuta mpenzi wangu bado hajaolewa tukaendelea na mahusiano

Sasa hivi nataka nimuoe kabisa sasa jana akaniambia anataka kuniambia ukweli baada ya mimi kwenda Dar, alikuwa na mahusiano ya kimapenzi na wanaume 7 kati hao wanaume wake 2 walikuwa wanamsaidia sana akiwaomba hela wanampa tena hela nyingi tu ila ameachana nao baada ya mimi kurudi na ametubu kwa Mungu kwamba hatorudia tena

Je nimuoe au nimuache naombeni
Wewe ni MS.NG.E na ni LI.PUMBAVU
Enhe Katika hao 7,wangapi wamewahi kumf.ria?
ushauri wenu wakuu
 
Habari za wekeend wakuu,

Wakuu naombeni ushauri wenu nina mpenzi wangu nipo kwenye mahusiano nae tangu shule ya msingi, tulivyomaliza O level mimi nikaenda Dar kutafuta maisha na mawasiliano yakakata kutokana na sababu mbali mbali

Nimekaa Dar miaka 6 ndiyo nikarudi mkoani kwangu nikamkuta mpenzi wangu bado hajaolewa tukaendelea na mahusiano

Sasa hivi nataka nimuoe kabisa sasa jana akaniambia anataka kuniambia ukweli baada ya mimi kwenda Dar, alikuwa na mahusiano ya kimapenzi na wanaume 7 kati hao wanaume wake 2 walikuwa wanamsaidia sana akiwaomba hela wanampa tena hela nyingi tu ila ameachana nao baada ya mimi kurudi na ametubu kwa Mungu kwamba hatorudia tena

Je nimuoe au nimuache naombeni ushauri wenu wakuu
Maana yake yupo tayari kutulia sasa maana amekwisha pata mikunyenge ya kutosha na huko chini hapana Tena ladha yake..Kama pamekuvutia, wewe chonga mzinga na peleka posa. Yeye yupo tayari Ila wewe ndio hujulikani.
 
Back
Top Bottom