Mpenzi wangu amenambia ana ma-ex 7

Mpenzi wangu amenambia ana ma-ex 7

Habari za wekeend wakuu,
Wakuu naombeni ushauri wenu nina mpenzi wangu nipo kwenye mahusiano nae tangu shule ya msingi, tulivyomaliza O level mimi nikaenda dar kutafuta maisha na mawasiliano yakakata kutokana na sababu mbali mbali
Nimekaa dar miaka 6 ndiyo nikarudi mkoani kwangu nikamkuta mpenzi wqngu bado hajaolewa tukaendelea na mahusiano,
sasa hivi nataka nimuoe kabisa sasa jana akaniambia anataka kuniambia ukweli baada ya mimi kwenda dar, alikuwa na mahusiano ya kimapenzi na wanaume 7 kati hao wanaume wake 2 walikuwa wanamsaidia sana akiwaomba hela wanampa tena hela nyingi tu ila ameachana nao baada ya mimi kurudi na ametubu kwa Mungu kwamba hatorudia tena,
Je nimuoe au nimuache naombeni ushauri wenu wakuu
Kipindi hicho wewe ulikuwa na wangapi.

Mzinifu haowi ila kwa mzinifu mwenzie
 
Ni
Habari za wekeend wakuu,
Wakuu naombeni ushauri wenu nina mpenzi wangu nipo kwenye mahusiano nae tangu shule ya msingi, tulivyomaliza O level mimi nikaenda dar kutafuta maisha na mawasiliano yakakata kutokana na sababu mbali mbali
Nimekaa dar miaka 6 ndiyo nikarudi mkoani kwangu nikamkuta mpenzi wqngu bado hajaolewa tukaendelea na mahusiano,
sasa hivi nataka nimuoe kabisa sasa jana akaniambia anataka kuniambia ukweli baada ya mimi kwenda dar, alikuwa na mahusiano ya kimapenzi na wanaume 7 kati hao wanaume wake 2 walikuwa wanamsaidia sana akiwaomba hela wanampa tena hela nyingi tu ila ameachana nao baada ya mimi kurudi na ametubu kwa Mungu kwamba hatorudia tena,
Je nimuoe au nimuache naombeni ushauri wenu wakuu
Ni mpenzi wenu au mpenzi wako?
 
Mwanakulifind, mwanakuliget. Sasa unlia lia nini na uliuliza, ukapewa majibu!!
 
Habari za wekeend wakuu,
Wakuu naombeni ushauri wenu nina mpenzi wangu nipo kwenye mahusiano nae tangu shule ya msingi, tulivyomaliza O level mimi nikaenda dar kutafuta maisha na mawasiliano yakakata kutokana na sababu mbali mbali
Nimekaa dar miaka 6 ndiyo nikarudi mkoani kwangu nikamkuta mpenzi wqngu bado hajaolewa tukaendelea na mahusiano,
sasa hivi nataka nimuoe kabisa sasa jana akaniambia anataka kuniambia ukweli baada ya mimi kwenda dar, alikuwa na mahusiano ya kimapenzi na wanaume 7 kati hao wanaume wake 2 walikuwa wanamsaidia sana akiwaomba hela wanampa tena hela nyingi tu ila ameachana nao baada ya mimi kurudi na ametubu kwa Mungu kwamba hatorudia tena,
Je nimuoe au nimuache naombeni ushauri wenu wakuu
Daaah, uko wapi kwani......
 
Habari za wekeend wakuu,
Wakuu naombeni ushauri wenu nina mpenzi wangu nipo kwenye mahusiano nae tangu shule ya msingi, tulivyomaliza O level mimi nikaenda dar kutafuta maisha na mawasiliano yakakata kutokana na sababu mbali mbali
Nimekaa dar miaka 6 ndiyo nikarudi mkoani kwangu nikamkuta mpenzi wqngu bado hajaolewa tukaendelea na mahusiano,
sasa hivi nataka nimuoe kabisa sasa jana akaniambia anataka kuniambia ukweli baada ya mimi kwenda dar, alikuwa na mahusiano ya kimapenzi na wanaume 7 kati hao wanaume wake 2 walikuwa wanamsaidia sana akiwaomba hela wanampa tena hela nyingi tu ila ameachana nao baada ya mimi kurudi na ametubu kwa Mungu kwamba hatorudia tena,
Je nimuoe au nimuache naombeni ushauri wenu wakuu
Wewe umekuwa na wangapi kwa kipindi hicho? Tumia hesabu yako kuamua.
 
Miaka sita ukigawa na maex saba approximation kila mwaka alikuwa anamkubalia jamaa mpya.. Kati ya hawo kuna watano walikuwa hawampi hela inawezekana wamemla papuchi mara chache kasheshe hao waliompa pesa sikwambii ila hatari..
Sijui nisemajee ila utajua mwenyewe
 
Habari za wekeend wakuu,
Wakuu naombeni ushauri wenu nina mpenzi wangu nipo kwenye mahusiano nae tangu shule ya msingi, tulivyomaliza O level mimi nikaenda dar kutafuta maisha na mawasiliano yakakata kutokana na sababu mbali mbali
Nimekaa dar miaka 6 ndiyo nikarudi mkoani kwangu nikamkuta mpenzi wqngu bado hajaolewa tukaendelea na mahusiano,
sasa hivi nataka nimuoe kabisa sasa jana akaniambia anataka kuniambia ukweli baada ya mimi kwenda dar, alikuwa na mahusiano ya kimapenzi na wanaume 7 kati hao wanaume wake 2 walikuwa wanamsaidia sana akiwaomba hela wanampa tena hela nyingi tu ila ameachana nao baada ya mimi kurudi na ametubu kwa Mungu kwamba hatorudia tena,
Je nimuoe au nimuache naombeni ushauri wenu wakuu
Mbona ni wachache? Nilikutana na msichana sehemu ya kazi tukaanza mahusiano. Siku ya kwanza kutaka kula mzigo alitaka kavu. Nikasema hapana kwa sababu mbali na magonjwa unaweza pata mimba isiyotarajiwa. Akaniambia, "Yaani hapa wamepita watu 28 na hawajai kunipa mimba uje kunipa wewe leo? Hahaha,,,na tuliishia pale pale.
 
Mbona ni wachache? Nilikutana na msichana sehemu ya kazi tukaanza mahusiano. Siku ya kwanza kutaka kula mzigo alitaka kavu. Nikasema hapana kwa sababu mbali na magonjwa unaweza pata mimba isiyotarajiwa. Akaniambia, "Yaani hapa wamepita watu 28 na hawajai kunipa mimba uje kunipa wewe leo? Hahaha,,,na tuliishia pale pale.
Duuh hawa viumbe hatari sana
 
Back
Top Bottom