Wakili tajiri
Member
- Aug 8, 2024
- 55
- 103
- Thread starter
- #41
Huyu ninavyoona anafaa kuwa demu na siyo mkeWewe utakuwa wa nane siku si nyingi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu ninavyoona anafaa kuwa demu na siyo mkeWewe utakuwa wa nane siku si nyingi.
Mimi nipo KitetoDaaah, uko wapi kwani......
nimetembea na 6Huyo yupo royal sana yani miaka 6 uliyo muacha ametembea na wanaume 7 tu! Na anakuambia
Kiasi kwamba ni bwege mmoja tu alimzingua akawa ame-date na wanaume wawili kwa mwaka 1.
Naomba nijue na wewe kwa miaka hiyo 6 umetembea na wanawake wangapi alafu nikushauri nini chakufanya mkuu.
Toa ushauri mkuu7...!!!!
Hilo jalala😅💔
Mmm no comment...Toa ushauri mkuu
Hapo ngoma droo oaneni tu. To me kuwa na record ya mpenzi 1 kwa mwaka iko reasonable. Maana hawezi/huwezi kaa bila kufanya.nimetembea na 6
🤣🤣🤣🤣 Umedanganywa, just hao wote hakuna anayemtaka tena that's why ni zamu yako. Aache wanaume wanaompa awe na wewe , siku akitaka tena fedha 🐈🐈🐈🐈🎤.Anasema ananipenda ndiyo maana kaniambia ila wanaume 7 ni wengi mno
Nakazia kwa HERUFI KUBWA.🛑Kama ni mpare usimuoe
Ungekuwa mwanaume ungekuwa mwana sanaa🤣🤣.Shemegi kautaka
Hapo ngoma droo oaneni tu. To me kuwa na record ya mpenzi 1 kwa mwaka iko reasonable. Maana hawezi/huwezi kaa bila kufanya.
Japo hakikisha unamtunza maana kuna hao wamba wawili walikua wanahudumia kweli kweli.😁
Ibada anafanya7!??
Mpenzi wako ni mlokole?
Wote ni walewaleOaneni
Mi mwanaume broUngekuwa mwanaume ungekuwa mwana sanaa🤣🤣.