Wakili tajiri
Member
- Aug 8, 2024
- 55
- 103
- Thread starter
- #81
Mkuu upo kimyaNakupigia muda si mrefu.....
Tufanye wote kilimo cha mahindi, make kiteto kwa mahindi....hadi raha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu upo kimyaNakupigia muda si mrefu.....
Tufanye wote kilimo cha mahindi, make kiteto kwa mahindi....hadi raha
Sibiri kidogo ntakupigia.....Mkuu upo kimya
Msema kweli ni mpenzi wa Mungu hivyo oa tu huyo na siku zote vipengele huwa vipo tu,Habari za wekeend wakuu,
Wakuu naombeni ushauri wenu nina mpenzi wangu nipo kwenye mahusiano nae tangu shule ya msingi, tulivyomaliza O level mimi nikaenda Dar kutafuta maisha na mawasiliano yakakata kutokana na sababu mbali mbali
Nimekaa Dar miaka 6 ndiyo nikarudi mkoani kwangu nikamkuta mpenzi wangu bado hajaolewa tukaendelea na mahusiano
Sasa hivi nataka nimuoe kabisa sasa jana akaniambia anataka kuniambia ukweli baada ya mimi kwenda Dar, alikuwa na mahusiano ya kimapenzi na wanaume 7 kati hao wanaume wake 2 walikuwa wanamsaidia sana akiwaomba hela wanampa tena hela nyingi tu ila ameachana nao baada ya mimi kurudi na ametubu kwa Mungu kwamba hatorudia tena
Je nimuoe au nimuache naombeni ushauri wenu wakuu
Umeongea ukwel mtupuMsema kweli ni mpenzi wa Mungu hivyo oa tu huyo na siku zote vipengele huwa vipo tu,
sisi kuna wengine wametuficha ila mileage detector ya Asili inaonesha kabisa hapa body count hamna hamna hukosi 50+
Sasa unaamua mwenyewe kusuka, kunyoa au vyote kwa mpigo yaani kwa kifupi Ubaya Ubwela
Muoe huyo dada MkweliHabari za wekeend wakuu,
Wakuu naombeni ushauri wenu nina mpenzi wangu nipo kwenye mahusiano nae tangu shule ya msingi, tulivyomaliza O level mimi nikaenda Dar kutafuta maisha na mawasiliano yakakata kutokana na sababu mbali mbali
Nimekaa Dar miaka 6 ndiyo nikarudi mkoani kwangu nikamkuta mpenzi wangu bado hajaolewa tukaendelea na mahusiano
Sasa hivi nataka nimuoe kabisa sasa jana akaniambia anataka kuniambia ukweli baada ya mimi kwenda Dar, alikuwa na mahusiano ya kimapenzi na wanaume 7 kati hao wanaume wake 2 walikuwa wanamsaidia sana akiwaomba hela wanampa tena hela nyingi tu ila ameachana nao baada ya mimi kurudi na ametubu kwa Mungu kwamba hatorudia tena
Je nimuoe au nimuache naombeni ushauri wenu wakuu
Hii sentensi ina mantiki why akumbuke hilo kati ya vyote alivyofanyiwa na wote aliokuwa nao, mm naunga mkono hoja ya huyu kwa kigezo hiki tu.Achana nae,hao wanaume wawili waliokua wanampa pesa nyingi nina uhakika bado wanaweza kumuwin moyo wake siku za mbeleni,fanya maamuzi magumu...
UmeishaAnasema ananipenda ndiyo maana kaniambia ila wanaume 7 ni wengi mno
Dah!... hatari hiiAnasema ananipenda ndiyo maana kaniambia ila wanaume 7 ni wengi mno
Ok!....hampishani Sana hata....Uongo dhambi nimelala na 6
Daaah kweli mkuu au masihara?mbona wachache?
Habari za wekeend wakuu,
Wakuu naombeni ushauri wenu nina mpenzi wangu nipo kwenye mahusiano nae tangu shule ya msingi, tulivyomaliza O level mimi nikaenda Dar kutafuta maisha na mawasiliano yakakata kutokana na sababu mbali mbali
Nimekaa Dar miaka 6 ndiyo nikarudi mkoani kwangu nikamkuta mpenzi wangu bado hajaolewa tukaendelea na mahusiano
Sasa hivi nataka nimuoe kabisa sasa jana akaniambia anataka kuniambia ukweli baada ya mimi kwenda Dar, alikuwa na mahusiano ya kimapenzi na wanaume 7 kati hao wanaume wake 2 walikuwa wanamsaidia sana akiwaomba hela wanampa tena hela nyingi tu ila ameachana nao baada ya mimi kurudi na ametubu kwa Mungu kwamba hatorudia tena
Je nimuoe au nimuache naombeni ushauri wenu wakuu
Kweli mkuu?Sio wengi
Kumbe ngoja nikomae nae7 tu? Hiyo mali mpya kabisa kilometa 16,000 tu mana kwa ground hali sio! Nyingi km 200,000 zimepakwa rangi tu na buffering.