Mpenzi wangu ana mahusiano na kaka yangu wa damu

Hivi mmepagawa akili au kaka Kwa akili timamu anisagie kunguni na kumpindua demu wangu halafu nisimchukie, mnaakili nyie, bila dogo kaka asingemfahamu demu
 
Me and
me and my brother...au
My brother and I.

Hata sijui haya makitu
 
Shosti aliyekutumia picha mbona anakuelewa zaidi kwanini usipite nae unahangaika na hao wambea wa ukoo.
 
Kila mtu siku hz anasoma Chuo
Hususa wanao ongea ukinga
 
Mkuu nakushauri usivunje udugu sababu ya mwanamke,,
Tena ambaye wala Sio mkeo.

Wapuuze wote na penzi lao wewe angalia mambo yako..
Ila nakuahidi huenda Mungu amekuepusha na mengi .

Likuepukalo Lina heri.

Cha kufanya mueleze yule mwanamke wako kwamba unajuwa kama kaka yako ana mahusiano nae..
Kaka yako usimuulize chochote.

Hyo itasaidia kuwafanya wajihisi wakosefu mbele yako..

Halafu angalia mambo yako.

There are still a lot of girls on the road waiting for you to pick.
 
Dogo achana na huyo mwanamke lakin pia kuwa Makin na Kaka yako.Usimuamini kwa lolote
 
Vunja undugu kaka ako an tabia za kishambaa temana na ndugu mnafiki
 
Tunza undugu na kaka yako .
Mapenzi yapo na pia mwenye kosa ni kaka yako na binti yako .

But huyo Frida ni wa kupita tu ila kaka yako mpo wote siku zote so endelea kumsamehe maumbile tumetofautiana hatujakamilika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole mkuu, huyu mwanamke asiharibu undugu au heshima kati yako wewe na brother wako. Piga chini kwa hekima, kaa na bro kiutu uzima. Undugu na heshima ni muhimu zaidi kuliko huyo mwanamke. Sio mwaminifu huyo mwanamke...
Hpna why unamkingia kifua brother wake na unajua kuwa amefanya makosa ya makusudi
 
Hapo hakuna namna wakatae wote wawili sio watu wakuendelea kuwakumbatia hata kidogo, nimeona kuna baadhi ya watu wanasema mkatae huyo dem ili mahusiano na brother wako yabaki pale pale, brother wako sio mwema na ww usijaribu kumletea wema ubaya kwa ubaya
 
Acha piga kimya kama hamna kinachoendelea ila hakikisha gonga kila mwanamke atakaekua nae kakaa Ako kivyovyote vile hata kwa dawa
 
Mkuu

Kuna mambo kwenye Maisha uwe mwepesi kuelewa!

Kwamba Mungu ananiepusha na mabaya na kakuonyesha dhahiri shahir!

Sasa we unataka ugombane na kaka kisa demu!

Hilo ni tatizo KUBWA MNO,we kausha na kata mawasiliano kabisa block futa namba kabisaaaa!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…