Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23] aisee kama unafuata pesa kwa mwanamke basi ujue fikra zako hazichanganyi. Pia pesa ya mwanamke haitoki kizembe hivyo.Mtoto mwenye pesa namna hiyo unaanzaje kumuacha?we umekamirika kweli?
Hiyo siyo furaha bali immaturity. Mwanamke mwenye kujielewa ushindwe kujitimizia basic needs ili ufurahishe watu nje. Hiyo ndoa na familia itaangamia, kama ukijifanya unataka ujione bingwa kwa mwanamke ambaye yupo tayari kukaa njaa ili afurahishe watu baki. Siataua familia, hivi mwanaume hivi vyote nabado ujipeleke kisa wataka matawi ya juu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Acha niwe na mtu na akili lakini sio mshamba wa dunia kisa apate validation.Mleta mada ana pepo la umaskini mwanamke kuwa na vyote hivyo mbona kawaida tu
Furaha ya mwanamke ikomkwenye kutoka anaonekaje huko nje ndio maana huwa.na mavazi kibao
Pepo la mavazi lina unafuu kuliko.pepo la ulofa
Ili zichezewe kesho alie mshahara mdogo au aongeze madeni kwa matumizi yasiyo na msingi [emoji23][emoji23][emoji23]. Hela zinatafutwa kwaajili ya maendeleo aisee sio kwaajili ya kuchezea maana kuna kipindi zitasimama tu, either kwa muda au kukata kabisa.Tafuta hela
Kula pepsi nalipa mimi,only kegends will understand thisHiyo siyo furaha bali immaturity. Mwanamke mwenye kujielewa ushindwe kujitimizia basic needs ili ufurahishe watu nje. Hiyo ndoa na familia itaangamia, kama ukijifanya unataka ujione bingwa kwa mwanamke ambaye yupo tayari kukaa njaa ili afurahishe watu baki. Siataua familia, hivi mwanaume hivi vyote nabado ujipeleke kisa wataka matawi ya juu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Acha niwe na mtu na akili lakini sio mshamba wa dunia kisa apate validation.
Wacha wee,huku friji ikigeuka tank na gas imekataNampangoo huo hata mimi nirudie kama zamani maana kwa yeye alikuwa hanishindi kwakuvaa i swear kuwa mremboo ni mashallah unawaweka wanadamu kiganjani mwako sio kibishara , kimapenzi na pia kimtazamo.
Urembo ni raha nikujiamini na kujipenda
Sisi gas kanunua ya nini kama c wa kukaa jikon?Huyo siyo design ya kukaa jikoni, mimi nakataa kuwa hana pesa za kununua gesi.
Mwambie huyo [emoji23][emoji23][emoji23] aisee kama unafuata pesa kwa mwanamke basi ujue fikra zako hazichanganyi. Pia pesa ya mwanamke haitoki kizembe hivyo.
ha ha haNa anatumia masaa mawili kuvaa,atajaribu nguo zote na kutafuta pochi inayomatch,atavua na na kuanza upya,
Hapo sasa!!! Umepigilia msumari kwenye fuvu lake la kichwaMbona kwa mwanamke hiyo idadi ni ya kawaida sana na ni vitu basic kabisa hivyo! Je ungekuta anamiliki nyumba 5 na magari 10 ungeenda kumshitaki au??
Sasa mavigi, viatu utafananisha na nyumba?Mbona kwa mwanamke hiyo idadi ni ya kawaida sana na ni vitu basic kabisa hivyo! Je ungekuta anamiliki nyumba 5 na magari 10 ungeenda kumshitaki au??
Nilitaka kushangaa motivational speaker mkosekane kwny Uzi Kama huu? Haiwezekani.Umasikini shida sana. Sasa hivyo viatu na vifaa vyake vyengine ndiyo vimekuweka roho juu hivyo!
Vitu vya kufikirika Ni hatari Sana kwa ubongo.Mbona kwa mwanamke hiyo idadi ni ya kawaida sana na ni vitu basic kabisa hivyo! Je ungekuta anamiliki nyumba 5 na magari 10 ungeenda kumshitaki au??
Eti friji Kama simtank, mkuu umeua!!Nimetoka kufanya sensa ya vitu anavyomiliki huyu kiumbe, hapo sijahesabu nguo zake, yaani akisema afungue boutique hana haja ya kuagiza mzigo China.
Hapo gesi imeisha wiki nzima hana hela ya gesi,friji ni kama simtank limejaa maji tu
Nimeona hanifai, sitaki ushauri nawapa tu taarifa, msije jiuliza kwa nini nimemuacha huyu mrembo.
Acha kulalamika mwanaume, kuhudumia ni kazi yako. Gesi, kujaza friji yote ni jukumu lako hilo.Tulikutana kazini ajabu kila siku anasena hana hela lunch lazima akupige mzinga
Bilashaka niwewe muhusika!Kaoe lofa mwenzio atakayekuvumilia ulofa wako
Ukome kuoa wanawake matawi ya juu wakati wewe lofa na kwenu malofa