- Thread starter
- #101
Yeye jukumu lake nini?Acha kulalamika mwanaume, kuhudumia ni kazi yako. Gesi, kujaza friji yote ni jukumu lako hilo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeye jukumu lake nini?Acha kulalamika mwanaume, kuhudumia ni kazi yako. Gesi, kujaza friji yote ni jukumu lako hilo.
Kwani si kweli?Nilitaka kushangaa motivational speaker mkosekane kwny Uzi Kama huu? Haiwezekani.
Hiyo ni akiba tu in case kuna siku anatamaki kuchemsha yai.Sisi gas kanunua ya nini kama c wa kukaa jikon?
Hakikisha makarani wa Sensa wanachukua hizo takwimu bila kukosaNimetoka kufanya sensa ya vitu anavyomiliki huyu kiumbe, hapo sijahesabu nguo zake, yaani akisema afungue boutique hana haja ya kuagiza mzigo China.
Hapo gesi imeisha wiki nzima hana hela ya gesi,friji ni kama simtank limejaa maji tu
Nimeona hanifai, sitaki ushauri nawapa tu taarifa, msije jiuliza kwa nini nimemuacha huyu mrembo.
FafanuaWacha wee,huku friji ikigeuka tank na gas imekata
Kwani wewe hujui kama hii nchi niya viwanda?Hivyo vitu ni used au vipya kabisa? Na kama ni vipya, vimetoka US, China,UK,Canada au Mbagala? Tuanzie hapo kwanza mkuu.
Wanini mie...wa ninii?in steve voiceHiyo ni akiba tu in case kuna siku anatamaki kuchemsha yai.
Majukumu ni kujaza makabati kwa nguo,pochi na viatu?Bora ulikimbia mapema maana huyawezi majukumu.
Hujaelewa hoja yake.Umasikini shida sana. Sasa hivyo viatu na vifaa vyake vyengine ndiyo vimekuweka roho juu hivyo!
Report to baseReutenant latric unproven relationship as usual..
One Man down.
Cc@@Liverpol VPN
&
@to yeye
Kabisa huwa ni kama watoto kwenye hiyo sektaHahahahah kuna mademu wanathamini kuvaa kuliko kula. Yuko radhi ashinde njaa ila kila jumamosi aende shopping kariakoo.
Wanawake wengi wanapenda ku shop. Yani kila wakati tamaa iko 98% kisikatize kitu mbele yake ndio maana rahisi sana kumtmba demu kama utamnunulia zawadi. Au kumpa access ya ku shop kila wakati.
Makarani wa sensa wanavyopita kila nyunba kuhesabu watu ni wajinga?Huo muda wa kuhesabu vyote hivyo uliutoa wapi? Kweli waTz wengi ni majobless.
"Furaha ya mwanamke iko kwenye kutoka anaonekanaje huko nje"!Mleta mada ana pepo la umaskini mwanamke kuwa na vyote hivyo mbona kawaida tu
Furaha ya mwanamke ikomkwenye kutoka anaonekaje huko nje ndio maana huwa.na mavazi kibao
Pepo la mavazi lina unafuu kuliko.pepo la ulofa
Hahahaha ndiyo maisha aliyoyachagua hivyo ukiwa na mtu wa aina hiyo inabidi msaidiane kujaza makabati n.k.Majukumu ni kujaza makabati kwa nguo,pochi na viatu?
Muhimbili oxygen inauzwa pia😄Toa matumizi shemeji anunue wigi bro. Mbususu siyo oxygen ya kujisevia bure.