bitimkongwe
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 7,794
- 7,551
Nimeielewa vizuri hoja yake. Shida ni kwamba hawa wawili priority zao ni tafauti, mmoja kwenye appearance (kivazi, n k) na mwingine ni hali ya maisha kwa ujumla.Hujaelewa hoja yake.
She is extravagant na hana uwezo wa kumudu hayo maisha hivyo jamaa ameona afanye sensa ya ndani akapata input = output. Akafanya maamuzi.
Haina makombo mkuuImagine kila mkanda kautumikia,kila pair ya kiatu kaitumikia, kila wigi kalitumikia na kila handbag kaitumikia halafu vuta picha huko Stanford bridge kukoje
DuhWe una pair ngapi mama
Makubwa[emoji848]Kama hana kazi kaitoa wapi ,lazima atoe maelezo,vinginevyo unaachwa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nimetoka kufanya sensa ya vitu anavyomiliki huyu kiumbe, hapo sijahesabu nguo zake, yaani akisema afungue boutique hana haja ya kuagiza mzigo China.
Hapo gesi imeisha wiki nzima hana hela ya gesi,friji ni kama simtank limejaa maji tu
Nimeona hanifai, sitaki ushauri nawapa tu taarifa, msije jiuliza kwa nini nimemuacha huyu mrembo.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kuna mmoja nilimuacha baada ya kutaka anunuliwe kiatu cha 16 wakati mtafutaji Nina viwili kimoja kimechanika nikamwambia subiri me enyewe Sina viatu week hii nataka nunua changu kimoja akakataa kmkkke nikapiga ya mwsho nikamuacha
[emoji1787]mfanyie sensa ya masponsor wake sasa na imani hauko peke yako.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mtu alikuwa anapata zero Hadi kwenye sanaaa,!
Unakuta sahizi kavalisha kichwa wingi la laki mbili na nusu!
Haya sio matumizi mabaya ya fedha kweli,!!?
Kmmk [emoji16]Nimemnukuu mtoa mada hapo mwshon..gas imeisha hana hela ya kujaza...happ ndo mwamba kaona hilo dishi la demu wake ni la Zuku..