Mpenzi wangu anafika ila hamu haiishi

Mpenzi wangu anafika ila hamu haiishi

Kimbia. Siku ukimuoa na kusafiri kikazi atafanya nini? Hii ni aina ya wanawake wanaolala na shemeji ama mtunza bustani ama mwanaume yeyote ambaye yuko karibu ukisafiri kwa hata kwa juma moja tu. Soma pia nymphomaniac kwenye Google.
Habari, Nimekua na mahusiano na huyu binti kwa muda wa miaka mitatu sasa ila jana ameniambia maneno ambayoa yamenifikirisha sana na kunifanya nisipate usingizi jana.

Jana jmos asubuh tuliongea akanambia amenimiss ananihitaj niende kwake ila kutokana na majukumu ya kikazi nikamwambia sitoweza, ntakuja jpili
 
Alichofanya mdada kukuambia hajakosea.

Wanawake wengi wanakosa moyo wa kuongea kwavile wanaume wengi hujisikia anachosema mleta uzi.

Mkuu mnatakiwa kuzungumza. Chukua namba yangu I will walk you through some basics ili ujue ujiandae na kipi.
 
Huna mapungufu ila lazima ujue kuwa Hawa living organisms wanatofautiana
Kuna bodaboda mmoja kamwacha mke wake wakimakonde kisa demu kila akikanyaga home anaomba game. Jamaa ni pia anaupiga boxer na gym lakini kwa yule demu alichemka.
Huyo demu Mimi mmakonde ndo namweza maana kila siku naweza kupiga show
 
Huyo ndo mzuri weweee yani hapo ni uhakika wa huduma kila siku..lakini kwa kuwa uko bize ndo maana unaona yupo tofauti ..yani inatakiwa kila siku unamtwanga antidote yake ...sisi wengine kwamfano kipindi cha joto kali kilichopita miezi miwili iliopita tulikuwa tunatafuta huduma kwa tochi mchana..kama ingeukuwa anapata mzuka muda mchache tu labda baada ya masaa matatu hapo sawa ..lakini huyo wa kila siku yuko vizuri huyooo komaa nae
 
Kweli kila watu na changamoto zao, huyu analia na hili, yule analia na lile ilimradi tu mioyo ikose amani,

Mkuu usipokua makini hapo Unaharibika kisaikolojia, yaan mchezoni ndo utajawa zaid na hofu na mambo kwenda kombo zaid.

Kua mtulivi,Maandalizi ya kutosha kabla na kisha mpe usukani aendeshe yeye ili ajikadrie.

Huyo anakuambia humfikishi kisiasa, hatakama mwanzo hakuwaza hivyo, ila keshajadili na wenzake wakamwambia hafiki, so kwako akaja na lugha hizo mbili.
 
Alichofanya mdada kukuambia hajakosea.

Wanawake wengi wanakosa moyo wa kuongea kwavile wanaume wengi hujisikia anachosema mleta uzi.

Mkuu mnatakiwa kuzungumza. Chukua namba yangu I will walk you through some basics ili ujue ujiandae na kipi.
Shukrani mkuu naomb no yko
 
Pesa nampa ya kutosha na mtaji wa biashara ya saloon nilimpa mm
Sasa mkuu umefanya yote hayo alafu unataka kumuacha kisa anataka mgegedo kila leo...gangamala mwananiwane uwe unampiga viwili vitatu kila leo
 
Back
Top Bottom