Mpenzi wangu anafika ila hamu haiishi

Mpenzi wangu anafika ila hamu haiishi

Swab ni nini?
Swabing, Kupangusa kitu chochote ambacko kiko direct or indirect contact with food kwaa ajiri ya sample for microbial load test. Also can be aplied in other fields.

Sasa wafanyakazi wa maabara unapewa kazi leo katake hand swab unachagua pisi kali utaswab hata nusu saa😂😂😂
 
Ingekuwa Mimi muda huo huo natangaza maamuzi ya kudumu, wanawake wengi hawasemi ila akiniambia nafurahia Sana na ninampa kipaumbele maana ameniamini ndiyo maana akasema la moyoni..

Sasa ukimwacha atafedheheka Sana kwasababu amejianika kwako halafu unamtolea nje means umedharau na kuona sio swala la msingi kwako,, Sasa nikuulize mleta Uzi huu....

NI Bora akuambie utafute namna ya kujipanga kukabiliana na tatizo lake kumsaidia au Bora atafute mwanaume mwingine amsaidie wakati bado upo nae yaani uchapiwe?
 
Wanaosex na kukaa bila genye kwa wiki nzima wana raha sana

Mie hata niikeshee lazima kila siku alfajiri niamke na genye
That's my gal [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Habari, Nimekua na mahusiano na huyu binti kwa muda wa miaka mitatu sasa ila jana ameniambia maneno ambayoa yamenifikirisha sana na kunifanya nisipate usingizi jana.
Nisaidie namba za huyo mwanamke ndugu yangu.. Wewe usiende kabisa kwake amesha kudharirisha vya kutosha, hafai kabisa kuwa na ww huyo mwanamke make hana adabu...

Nipe namba yake nimkanye aache kupenda ngono kupita kiasi.
 
Wewe jamaa tumia vumbi utakuja kunishukulu.
Bora anipe namba tu nimsaidie kumkanya huyo dada aache kumdharirisha mwanaume mwenzetu..
Screenshot_20220123-131126.jpg
 
Back
Top Bottom