Mpenzi wangu anafika ila hamu haiishi

Mpenzi wangu anafika ila hamu haiishi

Swabing, Kupangusa kitu chochote ambacko kiko direct or indirect contact with food kwaa ajiri ya sample for microbial load test. Also can be aplied in other fields.
Sasa wafanyakazi wa maabara unapewa kazi leo katake hand swab unachagua pisi kali utaswab hata nusu saa[emoji23][emoji23][emoji23]
Duh nmetoka kapa hapa
 
Ingekuwa Mimi muda huo huo natangaza maamuzi ya kudumu, wanawake wengi hawasemi ila akiniambia nafurahia Sana na ninampa kipaumbele maana ameniamini ndiyo maana akasema la moyoni..

Sasa ukimwacha atafedheheka Sana kwasababu amejianika kwako halafu unamtolea nje means umedharau na kuona sio swala la msingi kwako,, Sasa nikuulize mleta Uzi huu....

NI Bora akuambie utafute namna ya kujipanga kukabiliana na tatizo lake kumsaidia au Bora atafute mwanaume mwingine amsaidie wakati bado upo nae yaani uchapiwe?
Bora nijipange kk, kuchapiwa noma
 
Inabidi ujitahidi ndugu yangu,fanya sana hadi aseme umempatia
 
Huyo ni kwamba hatosheki, sasa no either humfikishi, au unamfikisha ila hatosheki labda anataka afunge magori 3 na wewe umemruhusu amefunga moja au mawili Kisha umemuacha solemba. Suluhisho hakikisha ndani ya wiki Kuna siku Moja au mbili unampa Mambo kisawasawa na unamkamia Hadi sio aseme basi ila Hadi uone mwili na via vyake vya uzazi viseme basi. Na demu ukimzoea au ukiwa na uzoefu nao akifika kileleni na kuridhika utajua tu kwa ishara mbalimbali za mwili wake na sio Hadi aseme nimetosheka. Mda mwingine anasema kwa kua anakuonea huruma au hataki kukuumiza kihisia. Kama huna pumzi tafuta hata mkongo upake ili upige kaz Kaz.
Mkongo unaongeza pumzi?
 
Wanaosex na kukaa bila genye kwa wiki nzima wana raha sana

Mie hata niikeshee lazima kila siku alfajiri niamke na genye
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mwambie aache ujinga.....


Shida iko hapo mkuu

" unajua mim sijawahi kutosheka kabisa kwenye mapenzi yaan tunasex nasikia raha na nafika kilelen ila tukimaliza tu baada ta muda hamu bado inakuwepo tofauti na marafk zake wakike wakisex ham zinaisha yaan wanaweza kukaa hata wik bila kusikia ham lakn kwake ni tofauti tukisex ikifika kesho tu hamu bdo iko pale pale"

Kama vipi mwambie niunganishe na hao rafiki zako uone kama atarudia huu ujinga.
 
Aisee uyo inatakiwa ufanye play za kutosha,aisee kuna viumbe hwatosheki kuna siku nilimla mtot wa mtu bao zaid ya sita na bado ananambia tuendelee nikanyoosha mikono mimi,

Ila kesho yake aliumwa mwili wote na mimi niliumwa kidogo maana nilikua napiz had ikafika napiz vitone tu dadeki
Hahahaaa? Ulikamia mechi jamaa yangu .
 
Back
Top Bottom