Mpenzi wangu anaingia kwenye siku zake (hedhi) tukikutana

Mpenzi wangu anaingia kwenye siku zake (hedhi) tukikutana

Top Boy

Member
Joined
Jul 15, 2022
Posts
63
Reaction score
156
Habari wana Jamvi,

Hii imekaaje? Kama kichwa kinavyosema, mie na mpenzi wangu tumekuwa tukijiuliza sana pasi na kupata majawabu kwenye hilo jambo.

Inampelekea mpaka mwenzangu anapoteza hamu ya tendo na kuwa na wasi wasi mwingi mno hadi muda mwingine ananikwepa kunipa penzi...uhusiano wetu ni wa long distance japo si sana.
 
Habari wana Jamvi,

Hii imekaaje? Kama kichwa kinavyosema, mie na mpenzi wangu tumekuwa tukijiuliza sana pasi na kupata majawabu kwenye hilo jambo.

Inampelekea mpaka mwenzangu anapoteza hamu ya tendo na kuwa na wasi wasi mwingi mno hadi muda mwingine ananikwepa kunipa penzi...uhusiano wetu ni wa long distance japo si sana.
Labda unamtisha
 
Habari wana Jamvi,

Hii imekaaje? Kama kichwa kinavyosema, mie na mpenzi wangu tumekuwa tukijiuliza sana pasi na kupata majawabu kwenye hilo jambo.

Inampelekea mpaka mwenzangu anapoteza hamu ya tendo na kuwa na wasi wasi mwingi mno hadi muda mwingine ananikwepa kunipa penzi...uhusiano wetu ni wa long distance japo si sana.
ana jini mahaba linamuonea wivu halitaki umkule 😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
 
Kwa maoni yangu Kuna mambo mawili;

Moja huenda amejawa hofu Kila akiwa na miadi ya kuonana nawe, hii huwatokea baadhi ya Wanawake wenye woga wa dudu

Pili huenda huyo Mpenzi wako, yupo kwenye mahusiano na Mwanaume wake mwingine ambaye Kuna uwezekano amefungwa kutokuchepuka.

Yaani Kila alitaka kuchepuka na wewe Mpenzi wake mpya ama Mwanaume mwingine, basi ablidi hadi ashindwe kukutana na Mwanaume.
 
Habari wana Jamvi,

Hii imekaaje? Kama kichwa kinavyosema, mie na mpenzi wangu tumekuwa tukijiuliza sana pasi na kupata majawabu kwenye hilo jambo.

Inampelekea mpaka mwenzangu anapoteza hamu ya tendo na kuwa na wasi wasi mwingi mno hadi muda mwingine ananikwepa kunipa penzi...uhusiano wetu ni wa long distance japo si sana.
Itakuwa Kuna shida nyengine jaribu kwenda hospital kwanza. Wewe na huyo demu
 
Kwa maoni yangu Kuna mambo mawili;

Moja huenda amejawa hofu Kila akiwa na miadi ya kuonana nawe, hii huwatokea baadhi ya Wanawake wenye woga wa dudu

Pili huenda huyo Mpenzi wako, yupo kwenye mahusiano na Mwanaume wake mwingine ambaye Kuna uwezekano amefungwa kutokuchepuka.

Yaani Kila alitaka kuchepuka na wewe Mpenzi wake mpya ama Mwanaume mwingine, basi ablidi hadi ashindwe kukutana na Mwanaume.
Sidhani, maana muda mwingine ni yeye huwa ananitafuta pasi na mie kumuomba, afu kuhusu mahusiano sijui maana wanawake hawana dhamana ila nina uhakika kwa 80% hakuna mwanaume mwingine kwasasa.
 
Sidhani, maana muda mwingine ni yeye huwa ananitafuta pasi na mie kumuomba, afu kuhusu mahusiano sijui maana wanawake hawana dhamana ila nina uhakika kwa 80% hakuna mwanaume mwingine kwasasa.
Kwani umemkuta bikra huyo Chifu?

Muulize tangu aachane na X wake umepita muda gani?
 
Kwani umemkuta bikra huyo Chifu?

Muulize tangu aachane na X wake umepita muda gani?
Ninalo jibu, alikuwa na ex wake sema huyo mchizi now yupo Kilimanjaro na aliisha oa maana tumesoma wote chuo kimoja, Mimi, mwanamke na ex wake...afu waliachana kipindi kirefu ndio akaja kwangu.
 
Habari wana Jamvi,

Hii imekaaje? Kama kichwa kinavyosema, mie na mpenzi wangu tumekuwa tukijiuliza sana pasi na kupata majawabu kwenye hilo jambo.

Inampelekea mpaka mwenzangu anapoteza hamu ya tendo na kuwa na wasi wasi mwingi mno hadi muda mwingine ananikwepa kunipa penzi...uhusiano wetu ni wa long distance japo si sana.
Mchunguze
 
Back
Top Bottom