Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante sana mkuu, haya mawazo ndio nilikuwa nayatakaNendeni hospital haraka hiyo siyo menstrual blood.
Ni shida ya afya, huenda ana maambukizi, anapata michubuko wakati wa tendo au Endometriosis, cervical cancer, au shida nyingine yeyote.
Amuone gynecologist.
Angalia usije ukawa unawekewa pedi yenye tomato sauce😂 long distance relationship zina changamoto zake!Habari wana Jamvi,
Hii imekaaje? Kama kichwa kinavyosema, mie na mpenzi wangu tumekuwa tukijiuliza sana pasi na kupata majawabu kwenye hilo jambo.
Inampelekea mpaka mwenzangu anapoteza hamu ya tendo na kuwa na wasi wasi mwingi mno hadi muda mwingine ananikwepa kunipa penzi...uhusiano wetu ni wa long distance japo si sana.
Angelia usije ukawa unawekewa pedi yenye tomato sauce😂 long distance relationship zina changamoto zake!Habari wana Jamvi,
Hii imekaaje? Kama kichwa kinavyosema, mie na mpenzi wangu tumekuwa tukijiuliza sana pasi na kupata majawabu kwenye hilo jambo.
Inampelekea mpaka mwenzangu anapoteza hamu ya tendo na kuwa na wasi wasi mwingi mno hadi muda mwingine ananikwepa kunipa penzi...uhusiano wetu ni wa long distance japo si sana.
Hainaga makomboNinalo jibu, alikuwa na ex wake sema huyo mchizi now yupo Kilimanjaro na aliisha oa maana tumesoma wote chuo kimoja, Mimi, mwanamke na ex wake...afu waliachana kipindi kirefu ndio akaja kwangu.
NJITI ya uzazi wa mpango.Asante ila pole sana kwake maana anapoteza furaha na amani.
Labda kwa hilo tatizo la cervical cancer, ila kuhusu njia za uzazi ningejua maana ukiacha mbali na uhusiano wa kimapenzi ni mshikaji wangu saaaana. Ni ngumu hata kujua kama tuna date jinsi tunavyotaniana.Kamuone dr yawezekana ni early signs za cervical cancer lakini yawezekana anatumia njia za kisasa za uzazi wa mpango
Pambaneni kutafuta tiba mi yangu yananiendea vizuri tuMmh hapana bana, kuna muda anasema labda maumbile yako makubwa tofauti na sehemu yangu nambishia kuwa hakuna uhusiano na period.
Mkuu hio ishanipata kwa moja ya mtu Wang .ila ikaja gundulika alifungwa hivo ili asizini na mtuHabari wana Jamvi,
Hii imekaaje? Kama kichwa kinavyosema, mie na mpenzi wangu tumekuwa tukijiuliza sana pasi na kupata majawabu kwenye hilo jambo.
Inampelekea mpaka mwenzangu anapoteza hamu ya tendo na kuwa na wasi wasi mwingi mno hadi muda mwingine ananikwepa kunipa penzi...uhusiano wetu ni wa long distance japo si sana.