Mpenzi wangu anaingia kwenye siku zake (hedhi) tukikutana

Mpenzi wangu anaingia kwenye siku zake (hedhi) tukikutana

Labda kwa hilo tatizo la cervical cancer, ila kuhusu njia za uzazi ningejua maana ukiacha mbali na uhusiano wa kimapenzi ni mshikaji wangu saaaana. Ni ngumu hata kujua kama tuna date jinsi tunavyotaniana.
Nadhani umepata mwanga wa nini cha kufanya,kiufupi hizo dalili sio nzuri kabisa.Msilale hamko salama
 
Habari wana Jamvi,

Hii imekaaje? Kama kichwa kinavyosema, mie na mpenzi wangu tumekuwa tukijiuliza sana pasi na kupata majawabu kwenye hilo jambo.

Inampelekea mpaka mwenzangu anapoteza hamu ya tendo na kuwa na wasi wasi mwingi mno hadi muda mwingine ananikwepa kunipa penzi...uhusiano wetu ni wa long distance japo si sana.
Pole kipele kina mkunaji tayari
 
Eem chunguza huenda ni urogi huo.

Mm kuna kisa ki1 nlikisikia kutoka kwa kakaangu wa hiari ambaye tuna fahamiana kupitia kazi.

Huyu kaka alikuwa ana mke m1 baada ya muda akaongeza wapili, sasa baada ya kaka kuongeza huyo mke wa pili kukawa na zamu kati mke mkubwa na mdogo, huku cku 3 na kule cku 3 ivo ivo.

Umbali kutoka nyumba kubwa kwenda nyumba ndogo dkk 30, kasi 60-70 kwa PKPK ila huyu kaka alikuwa anakwenda kwa baiskeli.

Sasa mke mdogo alifanya urogi kwenda kwa mke mkubwa ili atakapokuwa na mume mechi isipigwe, kweli icho kitu kilimtokea yule mke mkubwa kila ikiwa zamu yake mume kuja kwake.

Mke mkubwa alikuwa anapatwa na hedhi muda wote ambao mume yupo kwake ila zamu ikiisha iyo hali inaondoka, mume mwanzo hakuhisi kitu ala baadaye akahisi kitu maana ilikuwa si kawaida kuona vile kwa mke wake.

Akaenda kukagua kwa mtaalamu kisha akajua ukweli kuwa nyumba ndogo ndo 7bu. Mwisho


Mkuu… ckushauri uende kwa MGANGA ila huenda huyo mpenzi wako kuna namna ambayo amefanyiwa mpaka hayo yatokee.
 
Hujaeleza vizuri,anaingia baada ya tendo au kabla ya tendo?

Kama baada ya tendo nendeni hospital akachek cancer ya shingo ya uzazi,

Kama kabla ya tendo karogwa na ex wake nendeni kilingeni
 
Mkuu hio ishanipata kwa moja ya mtu Wang .ila ikaja gundulika alifungwa hivo ili asizini na mtu
Maana alipo olewa tuh akapona
Sasa huyu kafungwa na wazazi wake
 
Hujaeleza vizuri,anaingia baada ya tendo au kabla ya tendo?

Kama baada ya tendo nendeni hospital akachek cancer ya shingo ya uzazi,

Kama kabla ya tendo karogwa na ex wake nendeni kilingeni
Inatokea mara nyingi tukiwa kwenye raundi nyingine wakati tunaendelea tunajikuta tunaloa damu na mashuka yanaanza kuchafuka...
 
Habari wana Jamvi,

Hii imekaaje? Kama kichwa kinavyosema, mie na mpenzi wangu tumekuwa tukijiuliza sana pasi na kupata majawabu kwenye hilo jambo.

Inampelekea mpaka mwenzangu anapoteza hamu ya tendo na kuwa na wasi wasi mwingi mno hadi muda mwingine ananikwepa kunipa penzi...uhusiano wetu ni wa long distance japo si sana.
Kuna mawili ama katupiwa Jini la Kublidi (namaanisha Karogwa) au atakuwa tayari ana Jini Mahaba au Wewe una Jini Mahaba na hayataki Kuchanganya au nyie kukutana huko Kimwili. Kinachofanyika hapo na Jini Mahaba au Majini Mahaba kuwatenganisheni huko katika Kungonoka Kwenu ili yaendelee ama Kukufurahia Wewe au Yeye. Lichukulie hili nililokundikia hapa kwa Uangalifu mkubwa sana Mkuu sawa?
 
Nadhani umepata mwanga wa nini cha kufanya,kiufupi hizo dalili sio nzuri kabisa.Msilale hamko salama
Nimekupata nashukuru sana kwa ushauri nitamjulisha tuufanyie kazi.
 
Kuna mawili ama katupiwa Jini la Kublidi (namaanisha Karogwa) au atakuwa tayari ana Jini Mahaba au Wewe una Jini Mahaba na hayataki Kuchanganya au nyie kukutana huko Kimwili. Kinachofanyika hapo na Jini Mahaba au Majini Mahaba kuwatenganisheni huko katika Kungonoka Kwenu ili yaendelee ama Kukufurahia Wewe au Yeye. Lichukulie hili nililokundikia hapa kwa Uangalifu mkubwa sana Mkuu sawa?
Sawa mkuu, ninashukuru sana tena saana, nitaongea nae pia kwenye hili.
 
Inatokea mara nyingi tukiwa kwenye raundi nyingine wakati tunaendelea tunajikuta tunaloa damu na mashuka yanaanza kuchafuka...
Ana tatizo kwenye shingo ya uzazi,mara nyingi huwa ni kansa stage 1...nendeni hospital ya serikali wanapima bure
 
Eem chunguza huenda ni urogi huo.

Mm kuna kisa ki1 nlikisikia kutoka kwa kakaangu wa hiari ambaye tuna fahamiana kupitia kazi.

Huyu kaka alikuwa ana mke m1 baada ya muda akaongeza wapili, sasa baada ya kaka kuongeza huyo mke wa pili kukawa na zamu kati mke mkubwa na mdogo, huku cku 3 na kule cku 3 ivo ivo.

Umbali kutoka nyumba kubwa kwenda nyumba ndogo dkk 30, kasi 60-70 kwa PKPK ila huyu kaka alikuwa anakwenda kwa baiskeli.

Sasa mke mdogo alifanya urogi kwenda kwa mke mkubwa ili atakapokuwa na mume mechi isipigwe, kweli icho kitu kilimtokea yule mke mkubwa kila ikiwa zamu yake mume kuja kwake.

Mke mkubwa alikuwa anapatwa na hedhi muda wote ambao mume yupo kwake ila zamu ikiisha iyo hali inaondoka, mume mwanzo hakuhisi kitu ala baadaye akahisi kitu maana ilikuwa si kawaida kuona vile kwa mke wake.

Akaenda kukagua kwa mtaalamu kisha akajua ukweli kuwa nyumba ndogo ndo 7bu. Mwisho


Mkuu… ckushauri uende kwa MGANGA ila huenda huyo mpenzi wako kuna namna ambayo amefanyiwa mpaka hayo yatokee.
Sawa mkuu, kwakuwa ni mshikaji wangu sana mbali yakuwa wapenzi nadhani nitatafuta muda wa kudiscuss nae kuhusu haya, maana nilitaka ABC ili nikifanya maongezi nae niwe na pakuanzia kama ushauri wa kutafuta solution kwetu.
 
Sawa mkuu, kwakuwa ni mshikaji wangu sana mbali yakuwa wapenzi nadhani nitatafuta muda wa kudiscuss nae kuhusu haya, maana nilitaka ABC ili nikifanya maongezi nae niwe na pakuanzia kama ushauri wa kutafuta solution kwetu.
Yaani hakuna cha bi mdogo wala nini,msipoteze muda nendeni hospital
 
Back
Top Bottom