David Harvey
JF-Expert Member
- Jul 17, 2014
- 2,894
- 6,020
Nifanye mie niwe mpango kandoWa kwangu anaweza kukaa hata wiki hajanitafuta na fresh tu,
Nataka nimtafutie mwenzake amsaidie kazi!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nifanye mie niwe mpango kandoWa kwangu anaweza kukaa hata wiki hajanitafuta na fresh tu,
Nataka nimtafutie mwenzake amsaidie kazi!
Hello puntas, nina manzi fuluani kama miaka 2 sasa, kipindi chote sijawahi mpigia kama hajanicheki, atume sms au apige, abip ndio nimpigie, for almost 2 years, sasa ghafla analalamika mbona simtafuti mpaka aanze mwenyewe.
Amenuna kwa sasa hanitafuti mpaka nimuanze, nikaona labda kuna mlamba lips anapiga simu kutwa mara 10 ndio maana amekuwa hivi, nikaamua kuachana naye lakini akagoma kuachana tena akasema wala hamna anayempigia simu iwe mchana au usiku ila anajiskia vibaya tu mie sijali kuhusu yeye.
Sasa nimeshindwa kujua anataka nini maana nimemwambia mie simu kwangu ni kiofisi zaidi sina muda wa stori hivyo sitoweza kukaa napiga piga simu, kama vipi tuachane kila mtu afanye mambo yake lakini hataki hiyo option ya kuachana anasema anataka nijirekebishe. Hapo najirekebisha nini wadau?
Mwanaume wa kweli haombi kua mchepukoNifanye mie niwe mpango kando
Hello puntas, nina manzi fuluani kama miaka 2 sasa, kipindi chote sijawahi mpigia kama hajanicheki, atume sms au apige, abip ndio nimpigie, for almost 2 years, sasa ghafla analalamika mbona simtafuti mpaka aanze mwenyewe.
Amenuna kwa sasa hanitafuti mpaka nimuanze, nikaona labda kuna mlamba lips anapiga simu kutwa mara 10 ndio maana amekuwa hivi, nikaamua kuachana naye lakini akagoma kuachana tena akasema wala hamna anayempigia simu iwe mchana au usiku ila anajiskia vibaya tu mie sijali kuhusu yeye.
Sasa nimeshindwa kujua anataka nini maana nimemwambia mie simu kwangu ni kiofisi zaidi sina muda wa stori hivyo sitoweza kukaa napiga piga simu, kama vipi tuachane kila mtu afanye mambo yake lakini hataki hiyo option ya kuachana anasema anataka nijirekebishe. Hapo najirekebisha nini wadau?
yesu wanguWa kwangu anaweza kukaa hata wiki hajanitafuta na fresh tu,
Nataka nimtafutie mwenzake amsaidie kazi!
Mtume na Malaika!!😂yesu wangu
bora umbwage tu kuliko umteseMtume na Malaika!!😂
Hata simtesi akati ndo namjali hadi namtafutia msaidizi!bora umbwage tu kuliko umtese
wapi wewe unaogopa ukimbwaga utakosa miamalaHata simtesi akati ndo namjali hadi namtafutia msaidizi!
Khaa!! Eeeeeeh!!! Oooh! Mmmm!!!!😂🚫🚮wapi wewe unaogopa ukimbwaga utakosa miamala
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mwanaume wa kweli haombi kua mchepuko
Huna vigezo!
cheki unavyoona aibu...Khaa!! Eeeeeeh!!! Oooh! Mmmm!!!!😂🚫🚮
Nimechangamsha genge tu.cheki unavyoona aibu...
haya ukidakwa ulete mrejesho kwa faida ya members😂
gharama za kummpotezea muda akupendae kwa maringo namna hiyo, hua ni za juu sana na huwa zinatafuna watu mithili ya laana, mpaka uliempotezea muda wake anyamaze kukulaumu ndio zinapungua....Hello puntas, nina manzi fuluani kama miaka 2 sasa, kipindi chote sijawahi mpigia kama hajanicheki, atume sms au apige, abip ndio nimpigie, for almost 2 years, sasa ghafla analalamika mbona simtafuti mpaka aanze mwenyewe.
Amenuna kwa sasa hanitafuti mpaka nimuanze, nikaona labda kuna mlamba lips anapiga simu kutwa mara 10 ndio maana amekuwa hivi, nikaamua kuachana naye lakini akagoma kuachana tena akasema wala hamna anayempigia simu iwe mchana au usiku ila anajiskia vibaya tu mie sijali kuhusu yeye.
Sasa nimeshindwa kujua anataka nini maana nimemwambia mie simu kwangu ni kiofisi zaidi sina muda wa stori hivyo sitoweza kukaa napiga piga simu, kama vipi tuachane kila mtu afanye mambo yake lakini hataki hiyo option ya kuachana anasema anataka nijirekebishe. Hapo najirekebisha nini wadau?
Ukweli ni kwamba wanaume ndio wanawahitaji wanawake zaidi sema ni vile tu toka enzi za mababu, wanaume wamekuwa wakitumia self serving reverse psychology trick, kuwafanya wanawake waone kama wao ndio wanaowahitaji wanaume zaidi ila huo si uhalisiaMwanamke ndiye anamhitaji mwanamume zaidi kuliko sisi tunavyowahitaji wao
Kwa sababu kwenye mahusiano mwanamke ndiye anafaidika zaidi sisi tunahitaji uchi tu
Sasa ya nini uumshobokee? Mwache akutafute yeye hawezi abort the mission next her
Kama ni K zipo kibao zinasubiri tu watombaji
Duuh kwahiyo wewe ukiwa na mpenzi wako hautataka afanye baadhi ya mambo unayoyapendaUfala wa mahusiano ni kutamani mtu atimize wishful zako....ndo maana mi nawaangaliaga tu mnavoteseka
Kaka hakuna mwanaume anaeweza kuwaelewa wanawake hawa.Hello puntas, nina manzi fuluani kama miaka 2 sasa, kipindi chote sijawahi mpigia kama hajanicheki, atume sms au apige, abip ndio nimpigie, for almost 2 years, sasa ghafla analalamika mbona simtafuti mpaka aanze mwenyewe.
Amenuna kwa sasa hanitafuti mpaka nimuanze, nikaona labda kuna mlamba lips anapiga simu kutwa mara 10 ndio maana amekuwa hivi, nikaamua kuachana naye lakini akagoma kuachana tena akasema wala hamna anayempigia simu iwe mchana au usiku ila anajiskia vibaya tu mie sijali kuhusu yeye.
Sasa nimeshindwa kujua anataka nini maana nimemwambia mie simu kwangu ni kiofisi zaidi sina muda wa stori hivyo sitoweza kukaa napiga piga simu, kama vipi tuachane kila mtu afanye mambo yake lakini hataki hiyo option ya kuachana anasema anataka nijirekebishe. Hapo najirekebisha nini wadau?