Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
[emoji102]
Mmmh[emoji848][emoji848][emoji3166]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmmh[emoji848][emoji848][emoji3166]
Usishangae ndivyo alivyo hata alipokuja kwangu anakuwaga hivyoHuyu mpenzi wangu simuelewi kabisa, tangu mchana leo amekuwa mkali kweli na ananiangalia kwa jicho la hasira.
Na ameanza kubadilika baada ya kuniona nakula nazi mbichi tatu, mihogo mibichi sita, na sasa namalizia karanga mbichi sado moja.
Sasa sijui, hapendi nile vitu vya asili; au anataka nile vyakula vya viwandani tu?
Wakuu nisaidieni, kwa nini amebadilika hivi, tatizo linaweza kuwa nini?
Lini alikuwa huko?Usishangae ndivyo alivyo hata alipokuja kwangu anakuwaga hivyo
Nawe ni miongoni mwao lakiniKweli Watu weusi ni asili ya nyani!!!
Umpe huyo manzi ako anaekuangalia🥺🤔Acheni niwape raha 😀 😀
Ebu njoo nikunong'eneze 😀Umpe huyo manzi ako anaekuangalia🥺🤔
Weee kwendraa zako huko!Ebu njoo nikunong'eneze 😀
😀 😀 nipo hapa njia panda, twende tukashangae ngedereWeee kwendraa zako huko!
Weee toka ule hayo Makolokolo yako masaa bado tu hujaenda kwa demu wako,??? Fanya haraka uende uache fujo humu😊😀 😀 nipo hapa njia panda, twende tukashangae ngedere
Demu wangu ni wewe, au hujui hilo; chukua kalamu nyekundu pigia mstari 😀Weee toka ule hayo Makolokolo yako masaa bado tu hujaenda kwa demu wako,??? Fanya haraka uende uache fujo humu😊
Maisha haya bila chai,mambo hayaendiChai...
unaishi wapi..?Naweza kupata soksi za chama?
Dunianiunaishi wapi..?
Una elimu gani..?
Una ajira gani..?
Una ( mke ) ...?
Kijana, nakuuliza kwa umakini usilete masihara.Duniani
Uganga
Mmachinga
Wapo sita
Kuna faida ipi?Kijana, nakuuliza kwa umakini usilete masihara.