Mwanaume rijali hasa akipiga goli tatu kwa wakati mmoja ni ile staili ya kuku!!!lakini kama mchezo mmoja unaweza kuchukua hata masaa 2 au matatu kwa kweli goli moja linatosha kabisaa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Sasa sijui huyo wa kwako anachukua muda gani kwa hilo goli moja!!!!!!!!!!!!! Nifahamishe ili nikuelimishe vizuri..!
Ndugu zangu,
Nimekuwa na mpenzi wangu muda mrefu sasa, tunaishi kama mume na mke, na kulingana na maisha tunayoishi, nina uhakika hana msichana nje, kinachonikwanza ni kila tukitenda tendo la ndoa baada tu ya kumaliza goli la kwanza basi harudii tena na wakati mwingine analala kabisa, na hata nikimshawishi kupata kitu cha pili , basi jogoo hasimami kabisa, na kwa wiki tunaweza tukakutana mara 3 -4 kwa kimoja kimoja tu, na sometimes huwa anasafiri wiki-wiki mbili, ila hata akirudi, utaratibu ni ule ule, atafanya mara moja tu, mpaka kesho yake au keshokutwa anasema inatosha kwa leo... hii ni utaratibu since nimeanza nae urafiki, mwaka sasa, je nichukulie hali ya kawaida au kuna tatizo... style nazitumia sana, ufundi mwingi nafanya, kwa kweli maandalizi ya mbinu tofauti daily nafanya.. ila lastly anafanya mara moja tu... je wandugu, hii ni kawaida au kuna tatizo hapa (simhisi kufanya nje kabisa kama ana msichana katu)
jaribuni kubadilisha mazingira ....tatizo lenu kila siku uwanja uleule...mwambie mtoke mkapeane dozi nje na nyumbani.......au jaribuni maeneo ya hatari kama parking ,chochoroni nk
Ndugu zangu,
Nimekuwa na mpenzi wangu muda mrefu sasa, tunaishi kama mume na mke, na kulingana na maisha tunayoishi, nina uhakika hana msichana nje, kinachonikwanza ni kila tukitenda tendo la ndoa baada tu ya kumaliza goli la kwanza basi harudii tena na wakati mwingine analala kabisa, na hata nikimshawishi kupata kitu cha pili , basi jogoo hasimami kabisa, na kwa wiki tunaweza tukakutana mara 3 -4 kwa kimoja kimoja tu, na sometimes huwa anasafiri wiki-wiki mbili, ila hata akirudi, utaratibu ni ule ule, atafanya mara moja tu, mpaka kesho yake au keshokutwa anasema inatosha kwa leo... hii ni utaratibu since nimeanza nae urafiki, mwaka sasa, je nichukulie hali ya kawaida au kuna tatizo... style nazitumia sana, ufundi mwingi nafanya, kwa kweli maandalizi ya mbinu tofauti daily nafanya.. ila lastly anafanya mara moja tu... je wandugu, hii ni kawaida au kuna tatizo hapa (simhisi kufanya nje kabisa kama ana msichana katu)
mimi nina miaka 28 nae ana miaka 32, kulingana na tabia na ueledi wake, simhisi hata kidogo kuwa na mtu nje..any way siwezi kuapa ila naamini hata mtu,
Yeah kwa week 3-4 hakosi, ila ni once per day/one time, tukipiga moja usiku ni moja tu... lingine ni kesho au keshokutwa... ila kwa hilo la kwanza, huwa ananifikisha, ingawa nilitegemea angalau goal mbili for the time tunapokutana.. na especially ninavyosikia wenzangu wanasema waume zao ni goal 2-3 kwa wakati mmoja ingawa kuna interval ya time.. ndo namimi nawish ningekuwa hivyo.
mimi nina miaka 28 nae ana miaka 32, kulingana na tabia na ueledi wake, simhisi hata kidogo kuwa na mtu nje..any way siwezi kuapa ila naamini hata mtu,
Yeah kwa week 3-4 hakosi, ila ni once per day/one time, tukipiga moja usiku ni moja tu... lingine ni kesho au keshokutwa... ila kwa hilo la kwanza, huwa ananifikisha, ingawa nilitegemea angalau goal mbili for the time tunapokutana.. na especially ninavyosikia wenzangu wanasema waume zao ni goal 2-3 kwa wakati mmoja ingawa kuna interval ya time.. ndo namimi nawish ningekuwa hivyo.
Pole sana, huenda huyo mpenzi wako ana matatizo au kazi anazofanya zinamsababishia uchovu na hivyo kumfanya asiweze kuhimili mchezo. Nashauri uongee nae kuhusu hali yake na umwelezee kuwa hupendi hilo goli moja kama kuna matatizo zaidi mshauri akawaone wataalamu wa afya!
tatizo lako ni uongo, unakumbuka ulishawahi kuandika hapa kuwa mumeo ndio mpenzi wako wa kwanza kukubanjua bikra?pole sana mimi pia niliwahi kuwa na mpenzi ambae ni mwaminifu sana na alikua ananipenda na kunijali sana ila katika hiyo sekta nae alikua mtu wa bao moja tu halafu hoi hataki tena hata akisafiri akirudi system the same mimi nikaja kumwacha maana lol,usikute ndo huyo ulie nae maana hata yeye alikua mtu wa kusafirisafiri anyway mimi nahisi ana matatizo
Teamo, kwenye mahusiano KIBANZI ndio nini?...WAKATI MWINGINE KUWA NA MKE MDOGO MDOGO NI SHIDA SANA!
wakina mama wadogo wadogo wanachokifikiria wao ni kwamba waume zao wanawaza unyumba tu......!
pole sana mama!
nakuacha na tafakari hii:
TOA KIBANZI............