Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Me gani anashindwa kufanya maamuzi kwenye jambo jepesi hivyo?Atakuwa me huyu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Me gani anashindwa kufanya maamuzi kwenye jambo jepesi hivyo?Atakuwa me huyu
Me wa dasalamu huyu..Me gani anashindwa kufanya maamuzi kwenye jambo jepesi hivyo?
Ha haaaa mi simoooMe wa dasalamu huyu..
Nmekusoma vzr sn kiongoz. Huyu malaya kbsa alopitilizaWe jamaa wewe, kama ana mtoto wa miezi 7 nawe una mahusiano naye ya miezi 2 means alianza kunyanduana na wewe akiwa na mtoto wa miezi 5…! Halafu pia mtoto si wako?
Halafu sasa unaomba ushauri maana anachepuka! Chief hayo matukio huoni tuu? Ushauri gani unaoutafuta hapo? Kuishi na malaya au nini?
Zero brain hapo ni mwanaume.Dah kuna Wanawake Zero brain [emoji3064][emoji3064]Pole sana kaka anyway nakushauri Uhame hapo.
Sio mwalimu mkeka ulimtema jina lake walilikata pamoja na kuomba shule nyingi .Leo hujaenda shuleni teacher?
Basi ni wazi umekutana na gube gube la dar likakuchanganya.Reply zenu nimezielewa wadau,inaonesha jns gan mmechukia kuwaangusha wanaume ktk kuchukua maamuz. Sifanyi kosa tena.me sio wa dar,hapa nina miezi mitatu tu.
Weka screenshot tuone.Hapa ananitumia sms mbna umeondoka hujaniachia hela ya kula. Hvi viumbe bhn
Habar zenu wadau, samahani kwa kuwasumbua kusoma chapisho hili.
Kuna mwanamke niko nae kwenye mahusiano sasa hivi yapata mwezi na kitu, ana mtoto mdogo wa miezi kama 7 hivi. Yeye anakaa na dada yake na wamepanga chumba jirani kabisa na nilichopanga mimi.
Toka tumekuwa kwenye uhusiano aliamua kuhamia chumbani kwangu kabisa. Sasa juzi niliona sms za jamaa mmoja anampongeza kwa walichofanya jana yake na kumuomba warudie tena siku inayofuata. Na mwanamke akakubali kabisa.
Siku iliyofuata yaani jana tar. 1 muda wa kulala ulivyofika, tukalale kama kawaida kwenye saa 5 usiku akaamka akajifanya anampelekea simu dada yake room kwao. Mtoto wake kamuacha kwangu kalala, nikajua mchezo umeanza.
Ilikuwa saa 5 na dakika 37 alivoondoka karudi saa 6 na dakika 30 hivi. Alivyorudi nikasikia mlango wa chumba cha dadake unafunguliwa nikajua anaenda kumfungulia mdogo wake ,nikakimbilia dirishani fasta, kweli nikamuona kasimama mlangoni anasubiri afunguliwe mlango.
Nikajirudisha zangu kitandani, alivokuja nikakausha kama sijui lolote vile. Sikumuongelesha lolote nikamuacha alale. Asubuhi ya leo nimejihimia job, yeye memuacha kalala kitandani kwangu.
Yaani inaniuma sana. Naombeni ushauri wenu wadau.
-Je mtoto ni wako?
Fanya utaratibu wa kuhama hapo haraka iwezekanavyo.
Hapo hauna mke/mpenzi, Huyu sio mtu sahihi wa kufanya naye maisha.
Nenda kaanze maisha sehemu nyingine na utapata mwanamke sahihi kwako.