Mpenzi wangu ananisaliti huku naona kabisa

Mpenzi wangu ananisaliti huku naona kabisa

Mleta mada mjinga
hapa sio mjinga mjinga ni yule anae patwa na tatizo badala ya kuomba ushauli akaishia kufanya matukio mabaya huyu jamaa ni jasili sana ushauli wangu atafute mwingine kisha huyu ampige chini
 
Pole sana jirani shida alikuja mwenyewe mi nikashindwa kukataa
 
Huyo n mke wa mtu wewe ndio umevamia

Ushauri wangu msamehe tu ili uendelee kupata utelezi wa bure
 
Habar zenu wadau, samahani kwa kuwasumbua kusoma chapisho hili.

Kuna mwanamke niko nae kwenye mahusiano sasa hivi yapata mwezi na kitu, ana mtoto mdogo wa miezi kama 7 hivi. Yeye anakaa na dada yake na wamepanga chumba jirani kabisa na nilichopanga mimi.

Toka tumekuwa kwenye uhusiano aliamua kuhamia chumbani kwangu kabisa. Sasa juzi niliona sms za jamaa mmoja anampongeza kwa walichofanya jana yake na kumuomba warudie tena siku inayofuata. Na mwanamke akakubali kabisa.

Siku iliyofuata yaani jana tar. 1 muda wa kulala ulivyofika, tukalale kama kawaida kwenye saa 5 usiku akaamka akajifanya anampelekea simu dada yake room kwao. Mtoto wake kamuacha kwangu kalala, nikajua mchezo umeanza.

Ilikuwa saa 5 na dakika 37 alivoondoka karudi saa 6 na dakika 30 hivi. Alivyorudi nikasikia mlango wa chumba cha dadake unafunguliwa nikajua anaenda kumfungulia mdogo wake ,nikakimbilia dirishani fasta, kweli nikamuona kasimama mlangoni anasubiri afunguliwe mlango.

Nikajirudisha zangu kitandani, alivokuja nikakausha kama sijui lolote vile. Sikumuongelesha lolote nikamuacha alale. Asubuhi ya leo nimejihimia job, yeye memuacha kalala kitandani kwangu.

Yaani inaniuma sana. Naombeni ushauri wenu wadau.

Kujihimia job,,, in makonde language maana yake kuamka mapema kwenda job. Kwa utamaduni wenu wala sishangai.
 
Unalalamika hali umenunua vitumbua vya jana mwenyewe
 
Kama mtoto sio wako, unashangaa vipi 'demu' kutokuwa wako?
 
Back
Top Bottom