Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Argh niliona majanga nikafuta kisha nikai-delete aiseeee, kumbe ni UNIFORM 🥋 ila hamna kituHali yangu shwari shem.
Connection inapatikana nije?😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Argh niliona majanga nikafuta kisha nikai-delete aiseeee, kumbe ni UNIFORM 🥋 ila hamna kituHali yangu shwari shem.
Connection inapatikana nije?😀
Ooh sawaaArgh niliona majanga nikafuta kisha nikai-delete aiseeee, kumbe ni UNIFORM 🥋 ila hamna kitu
Mbona niliyoiona ni anayojichezea kinyeoHali yangu shwari shem.
Connection inapatikana nije?[emoji3]
Huyo fukuza bro!!hakuna kitu hapo,utapata ngoma bule?kama huyo mtoto sio wako,basi bro unatembea na mke wa mtu,au wewe na huyo mwingine ni michepuko tu.Habar zenu wadau, samahani kwa kuwasumbua kusoma chapisho hili.
Kuna mwanamke niko nae kwenye mahusiano sasa hivi yapata mwezi na kitu, ana mtoto mdogo wa miezi kama 7 hivi. Yeye anakaa na dada yake na wamepanga chumba jirani kabisa na nilichopanga mimi.
Toka tumekuwa kwenye uhusiano aliamua kuhamia chumbani kwangu kabisa. Sasa juzi niliona sms za jamaa mmoja anampongeza kwa walichofanya jana yake na kumuomba warudie tena siku inayofuata. Na mwanamke akakubali kabisa.
Siku iliyofuata yaani jana tar. 1 muda wa kulala ulivyofika, tukalale kama kawaida kwenye saa 5 usiku akaamka akajifanya anampelekea simu dada yake room kwao. Mtoto wake kamuacha kwangu kalala, nikajua mchezo umeanza.
Ilikuwa saa 5 na dakika 37 alivoondoka karudi saa 6 na dakika 30 hivi. Alivyorudi nikasikia mlango wa chumba cha dadake unafunguliwa nikajua anaenda kumfungulia mdogo wake ,nikakimbilia dirishani fasta, kweli nikamuona kasimama mlangoni anasubiri afunguliwe mlango.
Nikajirudisha zangu kitandani, alivokuja nikakausha kama sijui lolote vile. Sikumuongelesha lolote nikamuacha alale. Asubuhi ya leo nimejihimia job, yeye memuacha kalala kitandani kwangu.
Yaani inaniuma sana. Naombeni ushauri wenu wadau.
Ushauri ule mwingine unahitaji maamuzi na utekelezaji tu....ila nia hana.Like seriously?😆😆😆😆 unazingua Daktari
Ndo mnitumie acheni uchoyoMbona niliyoiona ni anayojichezea kinyeo
Pole. Kama umehakiki kabisa anakusaliti basi hakuna mpenzi apo.Habar zenu wadau, samahani kwa kuwasumbua kusoma chapisho hili.
Kuna mwanamke niko nae kwenye mahusiano sasa hivi yapata mwezi na kitu, ana mtoto mdogo wa miezi kama 7 hivi. Yeye anakaa na dada yake na wamepanga chumba jirani kabisa na nilichopanga mimi.
Toka tumekuwa kwenye uhusiano aliamua kuhamia chumbani kwangu kabisa. Sasa juzi niliona sms za jamaa mmoja anampongeza kwa walichofanya jana yake na kumuomba warudie tena siku inayofuata. Na mwanamke akakubali kabisa.
Siku iliyofuata yaani jana tar. 1 muda wa kulala ulivyofika, tukalale kama kawaida kwenye saa 5 usiku akaamka akajifanya anampelekea simu dada yake room kwao. Mtoto wake kamuacha kwangu kalala, nikajua mchezo umeanza.
Ilikuwa saa 5 na dakika 37 alivoondoka karudi saa 6 na dakika 30 hivi. Alivyorudi nikasikia mlango wa chumba cha dadake unafunguliwa nikajua anaenda kumfungulia mdogo wake ,nikakimbilia dirishani fasta, kweli nikamuona kasimama mlangoni anasubiri afunguliwe mlango.
Nikajirudisha zangu kitandani, alivokuja nikakausha kama sijui lolote vile. Sikumuongelesha lolote nikamuacha alale. Asubuhi ya leo nimejihimia job, yeye memuacha kalala kitandani kwangu.
Yaani inaniuma sana. Naombeni ushauri wenu wadau.
Ndo nakutumia wapNdo mnitumie acheni uchoyo
Punguza wivuKati ya vitu nilinyomwaga uvumilivu ni kusalitiwa waziwazi alooooo!!
Hata uwe unanipa nini sijareeeeee[emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]!!
Mzoefu kivingine ausio!!!Punguza wivu
Dada huna Kaba ukijua tu roho inalipuka😂😂Kati ya vitu nilinyimwaga uvumilivu ni kusalitiwa waziwazi alooooo!!
Hata uwe unanipa nini sijareeeeee🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮!!
Yanii sinaga kujiulizaaaa mara mbiliiiii 🚮🚮🚮🚮🚮🚮!Dada huna Kaba ukijua tu roho inalipuka😂😂