Mpenzi wangu anapenda kutumia lugha ngumu

Yap ni mapenzi yalikuwa ,mwenzio nishasafiri kutoka Dar mpaka Bukoba sehemu inaitwa Rwamishenye kumfuata dada mmoja alikuwa nesi mtaa huo alafu nikamkuta na linjemba kwake ,akanitambulisha Kama mdogo wake ,😃😃, kwa Mara ya Kwanza nililila kisa penzi ,safari ya kurudi Dar nilikuwa natamani nijitupe kwenye lami nife .

Ila ushujaa wa moyo niksurvive nasasa naishi .
Ukweli mapenzi ni upofu ,hako kanesi Sasa hivi nikikaona najicheka kuwa pale nilipenda nini ?
 
Mfungie 3 kavu awe romantic
 
Kwa kiasi tu mfano siwezi kumwita mpenzi wangu "mwanangu", ni marafiki ndio tunaitana ivyo ila hayo maneno mengine kama natimba, kitu cha dona, ubao, kinyama/kinoma nayatumia tu hata kwa mpenzi
Mwenzio Naitwa jeshi wakati hata depol Sjawahi timba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…