Afisa Mteule Drj 2
JF-Expert Member
- Mar 21, 2017
- 3,865
- 4,506
Umeamua kudate na wavulana sasa unalialia nini kamanda wangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
week 3 mshaanza kula na kula tena! Itakiwa chai
Mashokolo mageni!.Mbona yeye ana malaini sana mfano Mimi nikiikwambia Nina hamu na dudu ungeliitikiaje jingine je mchicha upo? hahaa hizo zinaitwa silent language huyo wa kwako hana silent language
Kuna wana wana roho za paka dadeki, kuna njemba zinapakua hapa 😂😂
Kwa hayo Maongezi hebu angalia amekusave jina gani, huyu atakuwa player kama mimi amekusave Jembe langu mke halisi akiona sms anajua anongea na Mwana wake tu🤣🤣simu inaita)..
YEYE: Oy oy
MIMI: yes babe nambie
YEYE: kama Kawa?
MIMI: Fresh kabisa
YEYE: Pande zip?
MIMI: Nipo home kwa sasa ila nataka kutoka mara Moja.
YEYE: unaenda wapi?
MIMI:Naelekea ofisini mara Moja nimesahau PC
YEYE: ok, Sema nini mwanangu usikawie kurudi,Nina ubao kinyama, naomba unitolee kitu cha Dona natimba hapo Soon
MIMI: poa usijali
YEYE:Nakubali..
Huyu mbona hua mwili wake siuelewi kama kichwa chake kilitakiwa kiwe na mwili mkubwa ila kina mwili kidogo alafu kakobonge ukiachia mbali hayo mambo mengine
Kwanini wanaume mnajifanya wadada humu Jf?
Yaani ushindwe kutofautisha lugha unayopaswa kutumia kwa mpenzi wako na kwa washkaji zako si madharau hayo.Kwanini unasema hivyo?
week 3 tu ushakubali na kuliwa DuuhBaada ya kujitunza kwa muda mrefu (mashallah),takribani week 3 zilizopita nikampata kijana mmoja tall, handsome, then black (Mungu anajua kumbaa mashallah) baada ya kunitaka kwa kipindi kirefu basi na Mimi nikaamua kum-bless moyo wangu na ye akanibless Wa kwake.
Binafsi nampenda sana na hii ni baada ya yeye kuonesha Kila dalili iliyo nzuri juu yangu.
Lakini tatizo lake ni Moja ana lugha ngumu, yani akiongea na Mimi utadhani anaoengea na msela nwenzake, mara utasikia ananiita majina magumu ukilinganisha na jinsia yangu na status yangu, majina kama jembe, jeshi, kamanda, ndo majina yangu siku hizi, licha ya mm kumuita romantic names ila yy harespond in a good way.
Binafsi sifurahii hali hii hata sjui nifanyeje Kuna muda nawaza ndo ataongea hivi na ba mkwe wake hivi🤔Mfano angalia mazungumzo ya simu baina yetu muda mfupi uliopita
(simu inaita)..
YEYE: Oy oy
MIMI: yes babe nambie
YEYE: kama Kawa?
MIMI: Fresh kabisa
YEYE: Pande zip?
MIMI: Nipo home kwa sasa ila nataka kutoka mara Moja.
YEYE: unaenda wapi?
MIMI:Naelekea ofisini mara Moja nimesahau PC
YEYE: ok, Sema nini mwanangu usikawie kurudi,Nina ubao kinyama, naomba unitolee kitu cha Dona natimba hapo Soon
MIMI: poa usijali
YEYE:Nakubali..
(Nilivorudi nikapika tukala halafu Akala Tena)
Ova.