Mwl.RCT
JF-Expert Member
- Jul 23, 2013
- 14,624
- 20,666
Huu ndio uhalisia wake, cheza na beat yake, kama kweli unampenda, Sio wakati rafiki sasa wakuitaji yale mahusiano ya kitamthilia ambayo yamewaathiri vijana wengi KE/ME. Shukuru umempata mtu asiye fake tabia yake.Lakini tatizo lake ni Moja ana lugha ngumu, yani akiongea na Mimi utadhani anaoengea na msela nwenzake, mara utasikia ananiita majina magumu ukilinganisha na jinsia yangu na status yangu, majina kama jembe, jeshi, kamanda, ndo majina yangu siku hizi, licha ya mm kumuita romantic names ila yy harespond in a good way.
YEYE: ok, Sema nini mwanangu usikawie kurudi,Nina ubao kinyama, naomba unitolee kitu cha Dona natimba hapo Soon