Killa Cam
JF-Expert Member
- Jun 12, 2022
- 2,264
- 6,679
Basi mwana alikuwa msela sana tu atabadilika kidogo dogo, endelea kuwa mlaini ili nae alainike kwako.Kanisevu cute nyamwi💐
Hana mke
Tunakaa wote muda mwingi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi mwana alikuwa msela sana tu atabadilika kidogo dogo, endelea kuwa mlaini ili nae alainike kwako.Kanisevu cute nyamwi💐
Hana mke
Tunakaa wote muda mwingi.
Wewe ni kidume. Unatafuta bwana? Hizo caps unataman upewe higho kiungo Wana wapige miti?KUMAnisha mkuu?
Mi nmemjibu huyo hapo juu havihusiani na mada mkuuTuliza mihemko my girl.
Msubirie akiingia mkenge ishi naeKumbe jf Kuna kenge na hamsemi?
EeHivo eeh?
UnyamaNakubali jembe.
Kwamba wewe ni He_SheKUMAnisha nini?
Aaah lamamayee!?Baada ya kujitunza kwa muda mrefu (mashallah),takribani week 3 zilizopita nikampata kijana mmoja tall, handsome, then black (Mungu anajua kumbaa mashallah) baada ya kunitaka kwa kipindi kirefu basi na Mimi nikaamua kum-bless moyo wangu na ye akanibless Wa kwake.
Binafsi nampenda sana na hii ni baada ya yeye kuonesha Kila dalili iliyo nzuri juu yangu.
Lakini tatizo lake ni Moja ana lugha ngumu, yani akiongea na Mimi utadhani anaoengea na msela nwenzake, mara utasikia ananiita majina magumu ukilinganisha na jinsia yangu na status yangu, majina kama jembe, jeshi, kamanda, ndo majina yangu siku hizi, licha ya mm kumuita romantic names ila yy harespond in a good way.
Binafsi sifurahii hali hii hata sjui nifanyeje Kuna muda nawaza ndo ataongea hivi na ba mkwe wake hivi🤔Mfano angalia mazungumzo ya simu baina yetu muda mfupi uliopita
(simu inaita)..
YEYE: Oy oy
MIMI: yes babe nambie
YEYE: kama Kawa?
MIMI: Fresh kabisa
YEYE: Pande zip?
MIMI: Nipo home kwa sasa ila nataka kutoka mara Moja.
YEYE: unaenda wapi?
MIMI:Naelekea ofisini mara Moja nimesahau PC
YEYE: ok, Sema nini mwanangu usikawie kurudi,Nina ubao kinyama, naomba unitolee kitu cha Dona natimba hapo Soon
MIMI: poa usijali
YEYE:Nakubali..
(Nilivorudi nikapika tukala halafu Akala Tena)
Ova.
Angeoana na mkewangu kwa lugha ngumu wangeendana sana.Hahahaha
Repeat ChorusBaada ya kujitunza kwa muda mrefu (mashallah),takribani week 3 zilizopita nikampata kijana mmoja tall, handsome, then black (Mungu anajua kumbaa mashallah) baada ya kunitaka kwa kipindi kirefu basi na Mimi nikaamua kum-bless moyo wangu na ye akanibless Wa kwake.
Binafsi nampenda sana na hii ni baada ya yeye kuonesha Kila dalili iliyo nzuri juu yangu.
Lakini tatizo lake ni Moja ana lugha ngumu, yani akiongea na Mimi utadhani anaoengea na msela nwenzake, mara utasikia ananiita majina magumu ukilinganisha na jinsia yangu na status yangu, majina kama jembe, jeshi, kamanda, ndo majina yangu siku hizi, licha ya mm kumuita romantic names ila yy harespond in a good way.
Binafsi sifurahii hali hii hata sjui nifanyeje Kuna muda nawaza ndo ataongea hivi na ba mkwe wake hivi🤔Mfano angalia mazungumzo ya simu baina yetu muda mfupi uliopita
(simu inaita)..
YEYE: Oy oy
MIMI: yes babe nambie
YEYE: kama Kawa?
MIMI: Fresh kabisa
YEYE: Pande zip?
MIMI: Nipo home kwa sasa ila nataka kutoka mara Moja.
YEYE: unaenda wapi?
MIMI:Naelekea ofisini mara Moja nimesahau PC
YEYE: ok, Sema nini mwanangu usikawie kurudi,Nina ubao kinyama, naomba unitolee kitu cha Dona natimba hapo Soon
MIMI: poa usijali
YEYE:Nakubali..
(Nilivorudi nikapika tukala halafu Akala Tena)
Ova.
Maisha ni hatua mkuu[emoji23]Wala hata sikufuata tendo. Nilikua nampenda tu. Yan imagine, mimi nasoma Dar yeye yuko Tabora na makaz ni Dar, ila akifunga chuo mimi ndio natika Dar kwenda Tabora nimsindike kurud Dar.. [emoji23][emoji23].
Mapenzi ni ya kifala sanaaa.
Nilikuaga sina akil sijui.??!!!
Maana nikikumbuka niliokua nayafanya those 10 yrs ago, kwakwel nabak najicheka sana