Mpenzi wangu anapenda kutumia lugha ngumu

Huu ndio uhalisia wake, cheza na beat yake, kama kweli unampenda, Sio wakati rafiki sasa wakuitaji yale mahusiano ya kitamthilia ambayo yamewaathiri vijana wengi KE/ME. Shukuru umempata mtu asiye fake tabia yake.
YEYE: ok, Sema nini mwanangu usikawie kurudi,Nina ubao kinyama, naomba unitolee kitu cha Dona natimba hapo Soon
 
Sema umenifurahisha sana kwamba jembe akala na akala tena🤣🤣je akiwa anakula tena hua hatoi maneno magumu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…