Tyrone Kaijage
JF-Expert Member
- Jul 19, 2021
- 1,617
- 3,405
kama kuna mbinu ya kurefusha mechi naomba nipeni kwanza maana kinachofata huyu mwanamke ananipiga knockout
Hiki ndio lengo hasa la uzi wako mbona hulilificha mapema?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kama kuna mbinu ya kurefusha mechi naomba nipeni kwanza maana kinachofata huyu mwanamke ananipiga knockout
Wanaume kussidianaNdugu zangu hali niliyonayo sasa naona sio nzuri, kama nilivyowaambia hapo kwenye juu kama kutakuwa kuna mwenye mbinu mpya anipe.
Nimekuwa na mwanamke wangu ambaye kiukweli nilidhani mi napenda mapenzi lakini niligundua mimi sipendi mpaka nilipokutana naye huyo.Eeh bhana yule mwanamke anapenda kufanya mapenzi jamani[emoji119][emoji119][emoji119] imefika hatua naona kabisa mbn kama uwezo wangu umeshuka sana kabisa katika kunyandua.
Imefika hatua sasa nimetumia hadi vumbi la mkongo, na kuna kupindi niliwahi hadi kumeza vidonge vile vya kuboost mchezoni maana hamuwezi amini yule mwanamke kila anapokuona yeye anataka show.Furaha yake anataka akukamue aone kama kabisa mashine imelegea kabisaaaaaa
Kuna muda unaweza kustuka usiku ukamkuta ameshakuparamia mara mashine anainyonya kabisa mpka unajiuliza huyu hana usingizi au ni mimi.imefika hatua mpaka naogopa au jini nini huyu.Japo kwao napajua na historia yake naijua na hata ndugu zake nawajua na wapo kaka zake ambao tumekuwa wote.
Em nipeni mbinu mpya jamani maana naona kama uwezo wangu kitandani hadi kama unashuka hivi nitumie nini maana nimesikia hii mivumbi na vidongo vina madhara mara nasikia vinaathiri sperm zinakuwa haziwezi kutungisha mimba mara uwezo baada ya muda flan ndo utapotea kabisa em nisaidieni wana Forum[emoji120][emoji120]
Au nimwache nini huyu mwanamke na nimezaa naye mtoto mmoja.
Ukitaka kurefusha mechi hakikisha umeacha nyetokama kuna mbinu ya kurefusha mechi naomba nipeni kwanza maana kinachofata huyu mwanamke ananipiga knockout
AtakufaWe peleka moto
Basi aombe masela wamsaidieAtakufa
Tujuzane ndugu yangu,unaweza kuumbuka bureHiki ndio lengo hasa la uzi wako mbona hulilificha mapema?
Amen MkuuMpruuu mpaka makah pole sanaaa
Unaweza kuta hata huyo mwenzio ana wenzie wanamtumikisha ili akutumikishe wewe. Haya mambo ni ya rohoni hayaonekani ila mwombe Mungu akusaidie kum-balance ili mlingane
Huu ni ukweli mtupuKuna mademu ukiwakojoza ndio umemuwasha Sasa ...sio kila demu akifika kileleni ndio amemaliza
Hii mbn kama ni kweli maana anawivu sana aiseeYawezekana mdada ana wivu sana na huyu mtoa mada,na yamkini hii ndio mbinu yake ya ki-CIA ya kumfanya asichepuke.
Mangi yupi tena jamani[emoji15]Mkuu au ndo wewe siku hizi unapita pale kwa mangi unaoeoeauka arafu unakuwa kama uoni mbele?
Maskini leo ndo unatushtua humu, tengeneza kisafari ukaongeze japo madini mwilini ndo maana ngozi yako inakuwa kama mpauko hivi!!?[emoji2][emoji2][emoji2] j o k s
[emoji23][emoji23][emoji23]Inflation mpaka kwenye nyege[emoji28]
[emoji23][emoji23][emoji23] umenenaUkiona anazingua mwamkie siku umpe kipigo. Usiendekeze ujinga. Kila kitu kwa kiasi.
An huyu amezidi hata upeleke moto kona zote zote,umpelekee moto mdomoni sijui an unavyozidi kumpelekea moto yeye ndo anazidi kuchanganyikiwa na kukutaka tena na tena hiv mnalielewa hili balaa lilivyoJe unampelekea moto heavy unagusa g spot kushoto kulia yaani angle zote? Au unabalasa balasa tu juu juu humkati kiu? ukimkata kiu hatokuomba kwa muda maana hana hamu tena.
Ila mbona wanaume hamueleweki mnataka yupi hapo, anayependa au asiyependa moto?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tutakuja kunyweshana sumu
Waandike barua kwa herufi kubwa 😁
HahahahahaPongezi kwa mwanamke mwenzetu kwa kutuwakilisha vema.....
hii kweli awamu ya kike
Mleta mada baki hapaMpe mtaji au mpe kazi ngumu ili achoke mwili na akili itakusaidia kupunguza kasi na kuongeza kipato. Kama hilo gumu mpe stress...
Mnunulie chupa milinda ikusaidieNdugu zangu hali niliyonayo sasa naona sio nzuri, kama nilivyowaambia hapo kwenye juu kama kutakuwa kuna mwenye mbinu mpya anipe.
Nimekuwa na mwanamke wangu ambaye kiukweli nilidhani mi napenda mapenzi lakini niligundua mimi sipendi mpaka nilipokutana naye huyo.Eeh bhana yule mwanamke anapenda kufanya mapenzi jamani[emoji119][emoji119][emoji119] imefika hatua naona kabisa mbn kama uwezo wangu umeshuka sana kabisa katika kunyandua.
Imefika hatua sasa nimetumia hadi vumbi la mkongo, na kuna kupindi niliwahi hadi kumeza vidonge vile vya kuboost mchezoni maana hamuwezi amini yule mwanamke kila anapokuona yeye anataka show.Furaha yake anataka akukamue aone kama kabisa mashine imelegea kabisaaaaaa
Kuna muda unaweza kustuka usiku ukamkuta ameshakuparamia mara mashine anainyonya kabisa mpka unajiuliza huyu hana usingizi au ni mimi.imefika hatua mpaka naogopa au jini nini huyu.Japo kwao napajua na historia yake naijua na hata ndugu zake nawajua na wapo kaka zake ambao tumekuwa wote.
Em nipeni mbinu mpya jamani maana naona kama uwezo wangu kitandani hadi kama unashuka hivi nitumie nini maana nimesikia hii mivumbi na vidongo vina madhara mara nasikia vinaathiri sperm zinakuwa haziwezi kutungisha mimba mara uwezo baada ya muda flan ndo utapotea kabisa em nisaidieni wana Forum[emoji120][emoji120]
Au nimwache nini huyu mwanamke na nimezaa naye mtoto mmoja.