Introsagvert
JF-Expert Member
- Sep 9, 2019
- 1,459
- 3,020
Very good!Bora mwanamke ajenge kwenye kiwanja cha Mwanaume. Ila sio kiwanja cha Mwanamke we mwanaume ukajenge imekula kwako.
Mimi mke wangu ana pesa ila sijawahi mwambia achangie hata ujenzi wala sitaki anichangie hata Ada ya watoto. Hata Chumvi kununua sitaki.
Pesa zake akajenge kiwanja kingine atapangisha apate pesa.
Sitaki dharau mimi😆😆
Vipi na mwanamke kusupport ujenzi kwenye kiwanja cha mwanaume? Unashauri nini?Nasimama na mchumba wako/wetu.....asijenge hapo.
At your own risk 😁Vipi na mwanamke kusupport ujenzi kwenye kiwanja cha mwanaume? Unashauri nini?
Nyieeeee🤣🤣🤣 Kwa hiyo kila mtu afe na chake🤣At your own risk 😁
Si tutachelewa? Kumbuka umoja ni nguvu.....Kama mnaunganisha damu mnapata watoto, kuna shida gani kuunganisha Mali?Hata kama mwanamke ana mali nashauri mwansume chums za kwako hubia na nwanamke ni hatari sana na mwanaume mara nyingi anapoteza.
Wanawake sio watu kwenye mali huwa wabinafsi na roho mbaya sanaHata kama mwanamke ana mali nashauri mwansume chums za kwako hubia na nwanamke ni hatari sana na mwanaume mara nyingi anapoteza.
Sijawahi kuona battle kati ya mwanaume na mwanamke juu mgao wa mali au sintofahamu walizo nazo huko ustawi wa jamii au hata mahakamani mwanaume akishinda kiurahisi huwa inakuaga mwanamke anapewa nafasi sana katika jamii haijalishi mwanaume ana hakiBora mwanamke ajenge kwenye kiwanja cha Mwanaume. Ila sio kiwanja cha Mwanamke we mwanaume ukajenge imekula kwako.
Mimi mke wangu ana pesa ila sijawahi mwambia achangie hata ujenzi wala sitaki anichangie hata Ada ya watoto. Hata Chumvi kununua sitaki.
Pesa zake akajenge kiwanja kingine atapangisha apate pesa.
Sitaki dharau mimi[emoji38][emoji38]
Huyu hapaTulianza mahusiano amenikuta na kiwanja kikubwa tu, nikamshauri pesa aingize kwenye ujenzi haina haja ya kununua kiwanja, ila amekuwa mzito kujenga juu ya ardhi ile, anadai siku mambo yakienda ndivyo sivyo atapoteza property. [emoji848]
Sio ubinafsi huo? Na why muwaze kuachana mpaka ugomvi wa mali kuhusishwa? Anyways nimemshauri aangalie namna itakayofaa.
Wenyew wanakwambia mimba ya mwanaume,mtoto wa mwanamke akili kumkichwa😅Sijawahi kuona battle kati ya mwanaume na mwanamke juu mgao wa mali au sintofahamu walizo nazo huko ustawi wa jamii au hata mahakamani mwanaume akishinda kiurahisi huwa inakuaga mwanamke anapewa nafasi sana katika jamii haijalishi mwanaume ana haki