Mpenzi wangu anasita kujenga juu ya kiwanja changu

Mpenzi wangu anasita kujenga juu ya kiwanja changu

Bora mwanamke ajenge kwenye kiwanja cha Mwanaume. Ila sio kiwanja cha Mwanamke we mwanaume ukajenge imekula kwako.

Mimi mke wangu ana pesa ila sijawahi mwambia achangie hata ujenzi wala sitaki anichangie hata Ada ya watoto. Hata Chumvi kununua sitaki.

Pesa zake akajenge kiwanja kingine atapangisha apate pesa.

Sitaki dharau mimi😆😆
Very good!
 
Bora mwanamke ajenge kwenye kiwanja cha Mwanaume. Ila sio kiwanja cha Mwanamke we mwanaume ukajenge imekula kwako.

Mimi mke wangu ana pesa ila sijawahi mwambia achangie hata ujenzi wala sitaki anichangie hata Ada ya watoto. Hata Chumvi kununua sitaki.

Pesa zake akajenge kiwanja kingine atapangisha apate pesa.

Sitaki dharau mimi[emoji38][emoji38]
Sijawahi kuona battle kati ya mwanaume na mwanamke juu mgao wa mali au sintofahamu walizo nazo huko ustawi wa jamii au hata mahakamani mwanaume akishinda kiurahisi huwa inakuaga mwanamke anapewa nafasi sana katika jamii haijalishi mwanaume ana haki
 
Tulianza mahusiano amenikuta na kiwanja kikubwa tu, nikamshauri pesa aingize kwenye ujenzi haina haja ya kununua kiwanja, ila amekuwa mzito kujenga juu ya ardhi ile, anadai siku mambo yakienda ndivyo sivyo atapoteza property. [emoji848]

Sio ubinafsi huo? Na why muwaze kuachana mpaka ugomvi wa mali kuhusishwa? Anyways nimemshauri aangalie namna itakayofaa.
Huyu hapa

Kama unampenda mmilikishe kiwanja

Ukishindwa muuzie Hicho kiwanja

Mwanaume mwenye akili timamu hawezi Jenga kwenye kiwanja Cha mwanamke LABDA Cha wazazi wake (mama na baba)

Mwamba kafata vizuri sheria tulizojadili kwenye kikao chetu Cha wanaume

Jumapili aje Johnbars Tumpe kadi ya uanachama halisi- na tubia 2-3

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijawahi kuona battle kati ya mwanaume na mwanamke juu mgao wa mali au sintofahamu walizo nazo huko ustawi wa jamii au hata mahakamani mwanaume akishinda kiurahisi huwa inakuaga mwanamke anapewa nafasi sana katika jamii haijalishi mwanaume ana haki
Wenyew wanakwambia mimba ya mwanaume,mtoto wa mwanamke akili kumkichwa😅
 
Back
Top Bottom