Mpenzi wangu anasita kujenga juu ya kiwanja changu

Kwa hiyo sisi tukusaidiaje?
 
[emoji16][emoji16][emoji16]Huu mtego ni hatariii mwaka wa 2 naurukaa kwa kwenda mbeleee..! Japo nampa support kidogo sana asione namtengaa.
 
Mbona hakuna shida lakini maana sionkila mwanmke ana uswahili
 
Kwanini mnagoma asijenge nipe reason kwanza
 
Hapo mamako ndo anakushika masikio umwingize mtoto wa watu motoni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…