Mpenzi wangu hataki kunielewa juu ya kosa langu

Kumbe ni long distance relationship alaaah! kijana hemu endelea na mambo mengine iyo nauli nunua soda unywe
 
Daaaaah!! Yani utoke Katavi mpaka Dodoma kwa ajili ya mbususu, Tafuta pesa acha ujinga
 

Watoto hawaruhusiwi kujihusisha na mapenzi
Zingatia masomo kama uliacha shule tafuta shughuli ya kufanya au usaidie wazazi wako kazi za nyumbani
 
Mapenzi yanauma sana, nakushauri ujinyonge mana hakuna jinsi kutokana na akili zako
 
Dahhh!!mi mwenyewe apa imenibidi nicheke kiukweli daaah!yote mema mpenzi wake kama yupo humu chonde chonde naomba karibu kumuelewa mwenzio Ili mambo yaende jaman...
shukrani mkuu
 
Punguani

Unacheza kombolela na mtu mzima.
Acha utoto mkuu.

Michezo ya kitoto ni ya watoto, watu wazima wanamichezo yao kuimarisha ndoa zao. Kama huijui ni pm.
ok mkuu nashukulu
 
We ni fala acha akunyooshe sijui ni ushamba au utoto
ok mkuu na ndiomaan nimekuja hapa niweze kupata funzo naamin akinisamee huu ujinga siwezi.rudia
 
nimefanya hivo kuyaanika haya kwa sababu nimefanya kila anina ya njia imeshindikana nimekuja huku ili nipate msaada wakuu
 
Ngoja nikupe mbinu ya kivita, azima kigari kijaze wese nenda nacho.

Ukifika usiongee sana, mbebe tu mzungushe kidogo atalainika

Ila ukienda na miguu ni ngumu kukuelewa.
sasa mkuu hata iyo nasi ya kukutana bado ni %2 mpaka sasa hajib txt hapkei cm yani ni shida
 
saq
Yan kumbe kuna wanaume wana tabia za kike hivo mie mwnywe siwezi fanya huo utotoπŸ˜†
sawa mkuu mm nimefanya hivo ila nimepata funzo na ndiomaana nimefanya kuja kujieleza huku sababu hum watu wanauzoefu tofauti
 
Kama unaachwa uachwe tu, badala ungemtreat vizuri mpaka aone wivu hizo treatment zisipelekwe kwingine we unahangaika na picha ,hii mitoto mingine πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ Kwanza nadaiwa kodi hapa leo maza mjengo asiponitupia vitu vyangu nje !! Nitarudi kutoa ushauri
 
sawa mkuu
 
saq

sawa mkuu mm nimefanya hivo ila nimepata funzo na ndiomaana nimefanya kuja kujieleza huku sababu hum watu wanauzoefu tofauti
Mwanamke hatishiwi mkuu
Ukitingisha kiberiti ye anawasha moto
Shauri yako usiseme hukuambiwa
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] dogo achana na mapenzi yameshakushinda tafuta hela tuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…