Mpenzi wangu hataki kunielewa juu ya kosa langu

Mpenzi wangu hataki kunielewa juu ya kosa langu

Bila ya shaka wewe ni NATO huyo mwenza wako Russia na huyo ulokuwa unampost America halafu wewe Zelenskyy hujawacha matani mpaka sasahivi rais wa Ukrain??
Ngoja upinduliwe sasa🤣🤣
🤣🤣
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]khaa hii nchi ina vijana wa hovyo nyie vitu vingine muulizage KWANZA ili kujua hasara na faida
 
we dogo ni mpuuzi mmanine zako ulichokipanda unakivuna kwanini unakikataa, we ni boya uyo mwanamke angemaua kuwapost wanaume zake ungemlaumu

unampost mwanamke alafu hauweki caption yoyote ya kuonyesha ni dada au kadhalika hakuna mwanamke atakaye kuamini, mi nina wanawake wengi simple nikitaka kumpost ambae sitaki aone na unsave namba yake kwa muda

pia jaribu ku move on nakwambia move
nimedumu na mwanamke miaka 6 alikuja kugundua nimemcheat mwaka wa sita na nilimcheat tukiwa mwaka wa tatu just imagine, alikuja ambiwa tu na rafiki yangu hii siri

tulikuwa tunapendana mnoo mnoo na nilipanga kumwoa , ila alivyosema No siwezi endelea na wewe sikumuelewa nilimbembeleza miezi mitatu mikavu akaja sema kanisamehe mwezi wa nne,

hatukudumu hata mwezi akarudisha msimamo wake kwamba we are over

nikambembeleza sanaa hapo nilikuwa sina uhusiano mwingine, bembelza sana mwaka mzimaa kumbe nampa kichwa,

bana Mungu si athumani Pisi tu hata sijui zilitokea wapi moja kali kinyamaaa just imagine ikanitamkia inanipenda just imagine ile pisi nikashani tapeli demu mzurii ana shape alinifata mesenger fb, pisi kali mnoo nikasema hapa naandaliwa kizinga ila uwezi amini hadi leo hajawai niomba hata mia na tupo inlove

acha huyo pisi ingine ya kiarabu mixer mpemba nayo ikanikubali tu from no where
achana na pisi nilizo zi approach mwenyewe

nilikuwa nasema sitoweza msahau yule demu wa kwanza ila nimemsahau mpka nashangaa ananikumbuka yeye japo ni mzuri na anashape yake kali tu

kwaiyo ukiachwa achika mkuu tena ukijifanya mwiba utaumia sanaaa nakwambia ukweli
 
Mlijadili nn huko nidokeze kidogo😂
Siwezi weka hadharani, nitasaliti kambi. Ukitaka njoo pm utapewa maelezo zaidi ila be warmed u will be puting ur mbususu as risk ya kuliwa🤣🤣🤣🤣
 
Siwezi weka hadharani, nitasaliti kambi. Ukitaka njoo pm utapewa maelezo zaidi ila be warmed u will be puting ur mbususu as risk ya kuliwa🤣🤣🤣🤣
😂😂😂Looh
 
Ushauriwe nini? Wakati ushakata shauri kuwa upo safarini unamfata ukayajenge?tofautisha mke na girlfriend sawa?ugomvi wa girlfriend hausuluhishwi hivyo shauri yako, any way we endelea kumpost huyo dada,
 
Broh!!!!!!!kweli unateseka kwa ajili ya manzi khaa?!!!!asee hongera mkuuu ila uspojirekebisha UTAKUJA KUFA
 
Siku zote mnaelekezwa humu kuhusu mapenzi, be an ALPHA MALE man pathetic.
 
Acha kulia lia kisa Mapenzi Mzee unaaibisha wanaume wa ukoo wako.
 
Kwanza pole kwa kuachwa,

Pili hata usiporudiwa ukipata mahusiano mengine jifunze KUJIAMINI. Kutengeneza kuonewa wivu tafsiri yake ni hujiamini kama unapendwa ndo maana ulikua unamrusha roho mwenzio.

Tatu huyo memba mwenzetu anae moyo, mgombane kidogo umpost mwanamke mwingine tena more than once aloooooo

Nne punguza utoto

Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
Eti kumtengenezea wivu sijawahi sikia hii huyu dada akimrudia huyu mkaka ana pepo yake peponi mara ya 3 hii unapostiwa mwanamke mwenzio
 
Eti kumtengenezea wivu sijawahi sikia hii huyu dada akimrudia huyu mkaka ana pepo yake peponi mara ya 3 hii unapostiwa mwanamke mwenzio
Tatizo kijana hajiamini na mwanamke anaejielewa hawezi kudeal na kijana asiejiamini
 
Back
Top Bottom