Mpenzi wangu kaniuliza swali, nimeshindwa kumjibu

Hajakutana na mtaalamu huyo shostie wako, muambie aje kwangu mie, ntamtengeneza huyo Malaya wake, na hata amini,
Dunia hii shoga angu, uwanja wa fujo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Labda mwanao huyo kachanja au Mke wake anapewa dawa ambayo siyo sahihi au anapewa ambayo ni sahihi anakosea kutengeneza.

Limbwata zipo aisee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] muambie huyoooo.

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Hajakosea Wanyaturu wako vizuri sana kwenye mila usichukulie poa jitafakari unampendea nini na una nini cha kuoffer kwake.
 
Weeh mtoto weeh!!!!..…aibu naona Mimi Dada ako🤣🤦
 
Mshirikina huyo achana nae
 
Alikupigia Microphone testing One two...

Ni swala la muda tu.

tunasubiri ulete uzi,, hata kama ni baada ya miaka 10,, nawaombeni mnitag hio siku ikifika
 
Wanyaturu kwenye swala la mapenzi uchawi kwao ni FOA
 
Wanawake huulizwa maswali ya kijinga na mengine hayajibiki, hasa kama umeshamvua nguo au umekaribia kumvua nguo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…