Theb
JF-Expert Member
- Jan 25, 2019
- 3,927
- 7,276
Pole mkuuMengine tuyaache..😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole mkuuMengine tuyaache..😅
Siwezi sema Ahsante!Pole mkuu
Kwanini..? Wakati ulibaragazwa kwa kifupi ulitiwa ndani ya chupa lumbe ukawa zwazwa la.mtu hahahhahaSiwezi sema Ahsante!
Umeniamsha mkuu! Nlikuwa najiuliza kila siku mi nna shida gani? Nshaoa lakini kwa X sipindui ananidrive kshenzSasa usiombe akajakukupa limbwata halafu akakuacha bado linafanya kazi!..
Mimi mpaka nilionaga nyotanyota..[emoji23]
Tuyaache kula burudani nusu sekunde Kwanza..Kwanini..? Wakati ulibaragazwa kwa kifupi ulitiwa ndani ya chupa lumbe ukawa zwazwa la.mtu hahahhaha
Zombi 🤲🏻🤲🏻🤲🏻🤲🏻🤲🏻Tuyaache kula burudani nusu sekunde Kwanza..
View attachment 2149569
Kuamini ni swala lingine, na kuwepo ni swala lingine.Siamini hayo mambo
duh baba hapo kimbia mapemaNmestuka,amejaa Chale matakoni
Kabila gani huyo aliye jaa chaleNmestuka,amejaa Chale matakoni
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa usiombe akajakukupa limbwata halafu akakuacha bado linafanya kazi!..
Mimi mpaka nilionaga nyotanyota..[emoji23]
Ukute ni wewe mwenyeweAnakuzingua tu.
AMINALuka 6:45
Mtu mwema katika hazina njema ya moyo wake hutoa yaliyo mema, na mtu mwovu katika hazina mbovu ya moyo wake hutoa yaliyo maovu; kwa kuwa mtu, kinywa chake hunena yale yaujazayo moyo wake
Kha!kha!kha!, Noma sana.Wanawake ni viumbe hatari sana.Mkuu mim leo tu nmekuta wamama wanaongea wanasema mwanaume akinizingua tu na muuwa maana sio ndugu dadekii[emoji848]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]...! We jamaa muongo ahahahaaaa.Sasa usiombe akajakukupa limbwata halafu akakuacha bado linafanya kazi!..
Mimi mpaka nilionaga nyotanyota..[emoji23]