Mpenzi wangu kaniuliza swali, nimeshindwa kumjibu

Mpenzi wangu kaniuliza swali, nimeshindwa kumjibu

Fear of unknown. Uchawi haupo. Achana na mila potofu. Vitu visivyoonekana wala havipo
 
Luka 6:45

Mtu mwema katika hazina njema ya moyo wake hutoa yaliyo mema, na mtu mwovu katika hazina mbovu ya moyo wake hutoa yaliyo maovu; kwa kuwa mtu, kinywa chake hunena yale yaujazayo moyo wake
Ni majibu sahihi kwa wakati sahihi.

Luka 6:45
 
Umesharogwa tayari so anataka kupima Kama dawa zinafanya Kazi [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Umeniamsha mkuu! Nlikuwa najiuliza kila siku mi nna shida gani? Nshaoa lakini kwa X sipindui ananidrive kshenz
[emoji16][emoji16][emoji16] yaani unakuwa drived mpaka unajua na still upo tu [emoji119][emoji119][emoji119]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nmecheka sana
 
6:45

Mtu mwema katika hazina njema ya moyo wake hutoa yaliyo mema, na mtu mwovu katika hazina mbovu ya moyo wake hutoa yaliyo maovu; kwa kuwa mtu, kinywa chake hunena yale yaujazayo moyo wake
kuhusu hili andiko napingana nalo:
VIPI KAMA IKIWA ANANENA MAZURI, NYUMA YA MGONGO WANGU MSALITI?
 
Tupo wilaya moja ila tunaonana weekend tu kwa sababu ya majukumu ya kazi.

Leo wakati tunapiga story kaniuliza, Hivi unavyonipenda hivo na SIJAKUROGA siku NIKIKUROGA itakuwaje?

Ukimya ulitawala sikujua nini nijibu, mpaka sasa najiuliza maswali yafuatayo:

1.Huyu kweli anaweza kuniroga?

2.Hili kabila la WANYATURU ni wachawi kiasi cha kumroga mtu kwa kumpa taarifa?

3.Nadate na mchawi?

4.Ataniroga kwa style gani?nimpende sana mpaka niwe kama zombie?

Mpka sasa anapiga simu namwambia nipo busy nitamtafuta but mpaka sasa nimevurugwa.

Sometime nakumbuka ushauri wa Mr.liverpool
One man down
 
Labda kakuroga ndo amekupa taarifa hivyo.na ukiendelea kuzila ndo anaenda kuendelea na kufukiza ili likukolee vizuri.Japo sikuwepo wakati anasema lakini najua kuwa tumeambiwa tuishi nao kwa akili.
 
kuna watu huwa na matani mengi ila wanasema kweli kama utani hivi, kua makini bro
 
Tupo wilaya moja ila tunaonana weekend tu kwa sababu ya majukumu ya kazi.

Leo wakati tunapiga story kaniuliza, Hivi unavyonipenda hivo na SIJAKUROGA siku NIKIKUROGA itakuwaje? Ukimya ulitawala sikujua nini nijibu, mpaka sasa najiuliza maswali yafuatayo:

1. Huyu kweli anaweza kuniroga?

2. Hili kabila la WANYATURU ni wachawi kiasi cha kumroga mtu kwa kumpa taarifa?

3. Nadate na mchawi?

4. Ataniroga kwa style gani? Nimpende sana mpaka niwe kama zombie?

Mpaka sasa anapiga simu namwambia nipo busy nitamtafuta but mpaka sasa nimevurugwa.

Sometime nakumbuka ushauri wa Mr.liverpool
Mkuu chukua maamzi haraka na jitahidi uvunje record ya Filbert Bahi
 
Back
Top Bottom