Mhandisi Mzalendo
JF-Expert Member
- Aug 23, 2010
- 6,682
- 11,461
Acha kuwa serious sana kwenye mapenzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni majibu sahihi kwa wakati sahihi.Luka 6:45
Mtu mwema katika hazina njema ya moyo wake hutoa yaliyo mema, na mtu mwovu katika hazina mbovu ya moyo wake hutoa yaliyo maovu; kwa kuwa mtu, kinywa chake hunena yale yaujazayo moyo wake
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] Kama ubao wa kukatia kashata !??Nmestuka,amejaa Chale matakoni
[emoji16][emoji16][emoji16] yaani unakuwa drived mpaka unajua na still upo tu [emoji119][emoji119][emoji119]Umeniamsha mkuu! Nlikuwa najiuliza kila siku mi nna shida gani? Nshaoa lakini kwa X sipindui ananidrive kshenz
kuhusu hili andiko napingana nalo:6:45
Mtu mwema katika hazina njema ya moyo wake hutoa yaliyo mema, na mtu mwovu katika hazina mbovu ya moyo wake hutoa yaliyo maovu; kwa kuwa mtu, kinywa chake hunena yale yaujazayo moyo wake
One man downTupo wilaya moja ila tunaonana weekend tu kwa sababu ya majukumu ya kazi.
Leo wakati tunapiga story kaniuliza, Hivi unavyonipenda hivo na SIJAKUROGA siku NIKIKUROGA itakuwaje?
Ukimya ulitawala sikujua nini nijibu, mpaka sasa najiuliza maswali yafuatayo:
1.Huyu kweli anaweza kuniroga?
2.Hili kabila la WANYATURU ni wachawi kiasi cha kumroga mtu kwa kumpa taarifa?
3.Nadate na mchawi?
4.Ataniroga kwa style gani?nimpende sana mpaka niwe kama zombie?
Mpka sasa anapiga simu namwambia nipo busy nitamtafuta but mpaka sasa nimevurugwa.
Sometime nakumbuka ushauri wa Mr.liverpool
Kha!kha!kha!, Noma sana.Wanawake ni viumbe hatari sana.
Yaani we acha tu.Ndio maana tulishaaswa kuwa tuishi nao kwa akili.Bora ata betting kuliko wao kwa kweli
If not apply here will apply therekuhusu hili andiko napingana nalo:
VIPI KAMA IKIWA ANANENA MAZURI, NYUMA YA MGONGO WANGU MSALITI?
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Akishakuloga unakuwa Kama hivi ;anaweza kuamua leo ulale sebuleni,asubuhi akakukataza usiende kazini ,au asipike,au usiku akaamua Tu kukupikia uji na huna cha kumfanya km huyu[emoji116][emoji116]
View attachment 2149388
Mkuu chukua maamzi haraka na jitahidi uvunje record ya Filbert BahiTupo wilaya moja ila tunaonana weekend tu kwa sababu ya majukumu ya kazi.
Leo wakati tunapiga story kaniuliza, Hivi unavyonipenda hivo na SIJAKUROGA siku NIKIKUROGA itakuwaje? Ukimya ulitawala sikujua nini nijibu, mpaka sasa najiuliza maswali yafuatayo:
1. Huyu kweli anaweza kuniroga?
2. Hili kabila la WANYATURU ni wachawi kiasi cha kumroga mtu kwa kumpa taarifa?
3. Nadate na mchawi?
4. Ataniroga kwa style gani? Nimpende sana mpaka niwe kama zombie?
Mpaka sasa anapiga simu namwambia nipo busy nitamtafuta but mpaka sasa nimevurugwa.
Sometime nakumbuka ushauri wa Mr.liverpool
Alikimbia speed isiyo ya kawaida[emoji13].Alifanyaje huyo jamaa