Mpenzi wangu kaniuliza swali, nimeshindwa kumjibu

Mpenzi wangu kaniuliza swali, nimeshindwa kumjibu

Tupo wilaya moja ila tunaonana weekend tu kwa sababu ya majukumu ya kazi.Leo wakati tunapiga story kaniuliza,Hivi unavyonipenda hivo na SIJAKUROGA siku NIKIKUROGA itakuwaje? Ukimya ulitawala sikujua nini nijibu,mpka sasa najiuliza maswali yafuatayo:

1.Huyu kweli anaweza kuniroga?

2.Hili kabila la WANYATUZU ni wachawi kiasi cha kumroga mtu kwa kumpa taarifa?

3.Nadate na mchawi?

4.Ataniroga kwa style gani?nimpende sana mpaka niwe kama zombie?

Mpka sasa anapiga simu namwambia nipo busy nitamtafuta but mpaka sasa nimevurugwa.

Sometime nakumbuka ushauri wa Mr.liverpool
Cc.
Liverpool VPN
 
Tupo wilaya moja ila tunaonana weekend tu kwa sababu ya majukumu ya kazi.Leo wakati tunapiga story kaniuliza,Hivi unavyonipenda hivo na SIJAKUROGA siku NIKIKUROGA itakuwaje? Ukimya ulitawala sikujua nini nijibu,mpka sasa najiuliza maswali yafuatayo:

1.Huyu kweli anaweza kuniroga?

2.Hili kabila la WANYATUZU ni wachawi kiasi cha kumroga mtu kwa kumpa taarifa?

3.Nadate na mchawi?

4.Ataniroga kwa style gani?nimpende sana mpaka niwe kama zombie?

Mpka sasa anapiga simu namwambia nipo busy nitamtafuta but mpaka sasa nimevurugwa.

Sometime nakumbuka ushauri wa Mr.liverpool

Hawezi [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]angekua anafanya au anaplan hiyo asingesema ila kuwa makini kuna mengi sikuhizi kuna kojo, kayamata, shuntama, na spells zinginezo akikufanyia umeishaaaa
 
Tupo wilaya moja ila tunaonana weekend tu kwa sababu ya majukumu ya kazi.Leo wakati tunapiga story kaniuliza,Hivi unavyonipenda hivo na SIJAKUROGA siku NIKIKUROGA itakuwaje? Ukimya ulitawala sikujua nini nijibu,mpka sasa najiuliza maswali yafuatayo:

1.Huyu kweli anaweza kuniroga?

2.Hili kabila la WANYATUZU ni wachawi kiasi cha kumroga mtu kwa kumpa taarifa?

3.Nadate na mchawi?

4.Ataniroga kwa style gani?nimpende sana mpaka niwe kama zombie?

Mpka sasa anapiga simu namwambia nipo busy nitamtafuta but mpaka sasa nimevurugwa.

Sometime nakumbuka ushauri wa Mr.liverpool
Kauli kama hizi dem hata awe mkali vp binafsi lazm nirud nyuma kidg
 
K
Sasa usiombe akajakukupa limbwata halafu akakuacha bado linafanya kazi!..

Mimi mpaka nilionaga nyotanyota..😂
Kumbe ulirogwa hahaa ilikuaje mzee wa Evelyn wa chumvi
 
Hawezi [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]angekua anafanya au anaplan hiyo asingesema ila kuwa makini kuna mengi sikuhizi kuna kojo, kayamata, shuntama, na spells zinginezo akikufanyia umeishaaaa
Duuh mkuu fafanua moja baada ya nyingne
 
Hapo dawa umuwahi wewe.
Tupo wilaya moja ila tunaonana weekend tu kwa sababu ya majukumu ya kazi.Leo wakati tunapiga story kaniuliza,Hivi unavyonipenda hivo na SIJAKUROGA siku NIKIKUROGA itakuwaje? Ukimya ulitawala sikujua nini nijibu,mpka sasa najiuliza maswali yafuatayo:

1.Huyu kweli anaweza kuniroga?

2.Hili kabila la WANYATUZU ni wachawi kiasi cha kumroga mtu kwa kumpa taarifa?

3.Nadate na mchawi?

4.Ataniroga kwa style gani?nimpende sana mpaka niwe kama zombie?

Mpka sasa anapiga simu namwambia nipo busy nitamtafuta but mpaka sasa nimevurugwa.

Sometime nakumbuka ushauri wa Mr.liverpool
 
Hakunaga hizo dawa usiogope. Kuna mwanangu mmoja ameoa ni malaya wa kufa mtu, mke wake anamuwekeaga dawa kwenye kila chakula, ila huwezi amini nje ana wanawake zaidi ya wanne na wengine nawafahamu tuko nao mtaa mmoja.

Nikimtaniaga namwambia mke wake ananiambia, sister potezea. Visichana vya chuo kibao na hawapagi hela nyingi anasemaga hazidi elfu 10. 😂😂😂😂

Usiogope hizo dawa hakuna kitu.
 
Kama umempenda mpaka anaona kero kwa nini asikwambie hivyo?kwani huna mama yako mzazi?unampendaje mwanamke mpaka anajua na kushangaa eti unampenda hivyo na hajakuroga na je akikuroga?
 
Back
Top Bottom