Mpenzi wangu kaniuliza swali, nimeshindwa kumjibu

Mpenzi wangu kaniuliza swali, nimeshindwa kumjibu

Tupo wilaya moja ila tunaonana weekend tu kwa sababu ya majukumu ya kazi.Leo wakati tunapiga story kaniuliza,Hivi unavyonipenda hivo na SIJAKUROGA siku NIKIKUROGA itakuwaje? Ukimya ulitawala sikujua nini nijibu,mpka sasa najiuliza maswali yafuatayo:

1.Huyu kweli anaweza kuniroga?

2.Hili kabila la WANYATUZU ni wachawi kiasi cha kumroga mtu kwa kumpa taarifa?

3.Nadate na mchawi?

4.Ataniroga kwa style gani?nimpende sana mpaka niwe kama zombie?

Mpka sasa anapiga simu namwambia nipo busy nitamtafuta but mpaka sasa nimevurugwa.

Sometime nakumbuka ushauri wa Mr.liverpool
Uchawi siku hizi hautegemei kabila wala familia. UCHAWI UNAUZWA wanaenda tu kwa waganga wa kienyeji
 
Ungemjibu "nitapenda wanawake wote waliopo kwenye ukoo wenu".

Bado asubuhi unaingia kaz mfanyakaz mwenzio anakwambia " we jamaa unajidai unapiga kaz sana ngoja uje ulogwe" ndio utajua ayo mawazo ya sasa hiv ni kachumbali tu.
 
Kwa kifupi hapo hakuna mchawi ni vile ameshindwa namna ya kuekezea jinsi anavyojivunia kupendwa na ww
 
Hakunaga hizo dawa usiogope. Kuna mwanangu mmoja ameoa ni malaya wa kufa mtu, mke wake anamuwekeaga dawa kwenye kila chakula, ila huwezi amini nje ana wanawake zaidi ya wanne na wengine nawafahamu tuko nao mtaa mmoja.

Nikimtaniaga namwambia mke wake ananiambia, sister potezea. Visichana vya chuo kibao na hawapagi hela nyingi anasemaga hazidi elfu 10. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Usiogope hizo dawa hakuna kitu.
Labda mwanao huyo kachanja au Mke wake anapewa dawa ambayo siyo sahihi au anapewa ambayo ni sahihi anakosea kutengeneza.

Limbwata zipo aisee.
 
Usiombe ulogwe kila kitu utakifananisha na ujinga wako
IMG_20220313_135549_561.jpg
 
Tupo wilaya moja ila tunaonana weekend tu kwa sababu ya majukumu ya kazi.Leo wakati tunapiga story kaniuliza,Hivi unavyonipenda hivo na SIJAKUROGA siku NIKIKUROGA itakuwaje? Ukimya ulitawala sikujua nini nijibu,mpka sasa najiuliza maswali yafuatayo:

1.Huyu kweli anaweza kuniroga?

2.Hili kabila la WANYATUZU ni wachawi kiasi cha kumroga mtu kwa kumpa taarifa?

3.Nadate na mchawi?

4.Ataniroga kwa style gani?nimpende sana mpaka niwe kama zombie?

Mpka sasa anapiga simu namwambia nipo busy nitamtafuta but mpaka sasa nimevurugwa.

Sometime nakumbuka ushauri wa Mr.liverpool
Mademu wa kibongo kuroga wanaume siku hizi imekuwa fashion.
 
Tupo wilaya moja ila tunaonana weekend tu kwa sababu ya majukumu ya kazi.Leo wakati tunapiga story kaniuliza,Hivi unavyonipenda hivo na SIJAKUROGA siku NIKIKUROGA itakuwaje? Ukimya ulitawala sikujua nini nijibu,mpka sasa najiuliza maswali yafuatayo:

1.Huyu kweli anaweza kuniroga?

2.Hili kabila la WANYATUZU ni wachawi kiasi cha kumroga mtu kwa kumpa taarifa?

3.Nadate na mchawi?

4.Ataniroga kwa style gani?nimpende sana mpaka niwe kama zombie?

Mpka sasa anapiga simu namwambia nipo busy nitamtafuta but mpaka sasa nimevurugwa.

Sometime nakumbuka ushauri wa Mr.liverpool
Luka 6:45

Mtu mwema katika hazina njema ya moyo wake hutoa yaliyo mema, na mtu mwovu katika hazina mbovu ya moyo wake hutoa yaliyo maovu; kwa kuwa mtu, kinywa chake hunena yale yaujazayo moyo wake

Nakazia📍🔨

Mwanzo 20: 6-8
"Na mtu yule atakayewaendea wenye pepo, na wachawi, ili kuzini pamoja nao, nitakaza uso wangu juu ya mtu yule, nitamtenga na watu wake.
Jitakaseni basi, iweni watakatifu, kwa kuwa mimi ndimi Bwana, Mungu wenu. Nanyi zishikeni sheria zangu, na kuzitenda; Mimi ndimi Bwana niwatakasaye ninyi."
 
Luka 6:45

Mtu mwema katika hazina njema ya moyo wake hutoa yaliyo mema, na mtu mwovu katika hazina mbovu ya moyo wake hutoa yaliyo maovu; kwa kuwa mtu, kinywa chake hunena yale yaujazayo moyo wake
[emoji123][emoji123] good reference
 
Back
Top Bottom