mtotomtamuu
JF-Expert Member
- Dec 4, 2016
- 602
- 1,459
Your k is too coldKama title inavyojieleza hapo ni kuwa nna mpenzi wangu ambaye natarajia kufunga nae ndoa mda sio mrefu lakini nimekuja kugundua kuwa ana tatizo la uume kuwa legevu na mda mwingine anashindwa kabisa kusex hadi inafika kipindi najiskia vibaya sana hata yeye pia anakosa amani
Lakini licha ya yote hayo kutokea nimekuwa nikimtia moyo kuwa ajiamini tu huenda anakuwa na uwoga labda lakini sina uhakika na hilo na mm kumuacha siwezi sababu ya mapenzi ya kweli nliyonayo juu yake
Msaada tafadhali
Mlisha sana ndizi mbivu na mchukulie juice ya tende kwa mpemba.Kama title inavyojieleza hapo ni kuwa nna mpenzi wangu ambaye natarajia kufunga nae ndoa mda sio mrefu lakini nimekuja kugundua kuwa ana tatizo la uume kuwa legevu na mda mwingine anashindwa kabisa kusex hadi inafika kipindi najiskia vibaya sana hata yeye pia anakosa amani
Lakini licha ya yote hayo kutokea nimekuwa nikimtia moyo kuwa ajiamini tu huenda anakuwa na uwoga labda lakini sina uhakika na hilo na mm kumuacha siwezi sababu ya mapenzi ya kweli nliyonayo juu yake
Msaada tafadhali
Saa nyingine kuna papachu zinatisha ile mbaya, paap genye zote zinakata.Kama title inavyojieleza hapo ni kuwa nna mpenzi wangu ambaye natarajia kufunga nae ndoa mda sio mrefu lakini nimekuja kugundua kuwa ana tatizo la uume kuwa legevu na mda mwingine anashindwa kabisa kusex hadi inafika kipindi najiskia vibaya sana hata yeye pia anakosa amani
Lakini licha ya yote hayo kutokea nimekuwa nikimtia moyo kuwa ajiamini tu huenda anakuwa na uwoga labda lakini sina uhakika na hilo na mm kumuacha siwezi sababu ya mapenzi ya kweli nliyonayo juu yake
Msaada tafadhali
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] subtu,,,,,,, hakiludi kwa mwenye mali ntasema kweli kunatatizosasa utaishije bila mashine? au labda ni wewe una shida mlete nimjaribu kwangu akishindwa nitakupa dawa.