Tatizo la wanaume wengi ni njaa tu hakuna kingine. Ninaposema njaa si njaa ya kujaza tu tumbo, kuna vyakula anavyotakiwa ale mwanaume na kuna nyakati hatakiwi mwanaume asile. Mfano. Asubuhi ule chakula bora, protein ya kutosha mayai mawili chapati mbili + juice, ndizi mbivu....chapati ambayo haikupikwa kwa mafuta ya alizeti, haya mafuta hupunguza homon za kiume... Mchana kula kawaida na matunda ya kutosha. Jioni hakikisha huli chakula chenye wanga mwingi. Kula matunda tu hasa machungwa, ndizi, mbivu, matikiti (kula na mbegu zake)... Ukiweza kula machungwa kumi kwa siku ndani ya siku kumi na nne utakuwa na nguvu za kiume nyingi sana huenda mwanamke moja akashindwa kukukidhi.