KivipPole dada hata mimi mme wangu alishawahi kuwa na hilo tatizo miaka miwili iliyopita na baada ya kuhangaika mahospitali mengi huku kila doctor akiwa na sugstion zake wengine wakisema ni upungufu wa nguvu za kiume na wengine walishauri atulize akili kwani ana tatizo la kisaikolojia
But hali ikawa ileile but alikuja kupona baada ya kutumia dawa ya mafuta ya mitishamba alitumiwa na mtu , na hadi sasa yuko vizuri. Hapo cha msingi usije ukamuacha huyo ndie mme wako na huo ni mtihani uliopewa
Kama utahitaji ushauri zaidi nipm
Ujinga huo.Uwe unampiga dole la mnduku utamsaidia
Itakua hauko sex hivyo humvutii kuendelea kusex na ww .bila shaka huyo hana tatizo lolote ...tatizo lipo kwako manjumat huna... DUSHE iki lala jaribu kuinyonya uone kama ijasimama fasta.. Ongeza utundu wanaume tumetofautiana...
DuuhhhhYour k is too cold
Nadhani umesahau au haujaona ametuma jukwaa la JF Doctor. Hii ni kusema anatafuta ushauri wa kidaktari japo hapa sio hospital kamili.Angekuwa na Busara asingeandika ujinga wake hapa uanjani. Pia mimi ni me why aseme me ndiye mapungifu wakati dalili zote zinaonyesha yy ndiye mwene tatizo?
Ebu weka hiyo dawa hadharani watu wapone ndugu yanguPole dada hata mimi mme wangu alishawahi kuwa na hilo tatizo miaka miwili iliyopita na baada ya kuhangaika mahospitali mengi huku kila doctor akiwa na sugstion zake wengine wakisema ni upungufu wa nguvu za kiume na wengine walishauri atulize akili kwani ana tatizo la kisaikolojia
But hali ikawa ileile but alikuja kupona baada ya kutumia dawa ya mafuta ya mitishamba alitumiwa na mtu , na hadi sasa yuko vizuri. Hapo cha msingi usije ukamuacha huyo ndie mme wako na huo ni mtihani uliopewa
Kama utahitaji ushauri zaidi nipm
Teh hili ni janga la kitaifa aweke tu hadharaniEbu weka hiyo dawa hadharani watu wapone ndugu yangu
Mkuu fertiliy na kusimamisha? Unaweza kuwa unasimamisha na unapiga haswaa lakini huwezi kuzalisha sababu ya tatizo la fertility.Mpeleke hospital checking fertility profile ni muhimu doctors support ndio solution nzuri
Unakaa wapi?Kama title inavyojieleza hapo ni kuwa nna mpenzi wangu ambaye natarajia kufunga nae ndoa mda sio mrefu lakini nimekuja kugundua kuwa ana tatizo la uume kuwa legevu na mda mwingine anashindwa kabisa kusex hadi inafika kipindi najiskia vibaya sana hata yeye pia anakosa amani
Lakini licha ya yote hayo kutokea nimekuwa nikimtia moyo kuwa ajiamini tu huenda anakuwa na uwoga labda lakini sina uhakika na hilo na mm kumuacha siwezi sababu ya mapenzi ya kweli nliyonayo juu yake
Msaada tafadhali
Kunywa bia nakujasasa utaishije bila mashine? au labda ni wewe una shida mlete nimjaribu kwangu akishindwa nitakupa dawa.
Dahhhh mkuuu sijuigi namna yaku upload Link .
Anayeweza asaidie .
Dahhhh mkuuu sijuigi namna yaku upload Link .
Anayeweza asaidie .
Vp mpenz wako alishapona tatizo lakeKama title inavyojieleza hapo ni kuwa nina mpenzi wangu ambaye natarajia kufunga nae ndoa mda sio mrefu lakini nimekuja kugundua kuwa ana tatizo la uume kuwa legevu na muda mwingine anashindwa kabisa kusex hadi inafika kipindi najiskia vibaya sana hata yeye pia anakosa amani.
Lakini licha ya yote hayo kutokea nimekuwa nikimtia moyo kuwa ajiamini tu huenda anakuwa na uwoga labda lakini sina uhakika na hilo na mimi kumuacha siwezi sababu ya mapenzi ya kweli niliyonayo juu yake.
Msaada tafadhali.