Mpenzi wangu na tatizo la uume kulala mapema na kutosimamisha kabisa, nini tatizo?

Kivip
 
Akapime blood sugar.Anaweza kuwa na kisukari,labda.Kisukari kinaharibu nguvu za kiume pia.Pole
 
Labda huenda tatizo linaweza kuwa kutojiamini au mastress ya maisha mengi mengi.... Mwambie amuone mwana saikolojia.... Atapata msaaada.....
 
Badilisha chakula. Kiwe cha asili. Kisiwe na mafuta. Tafuta mbegu za mabonga. Maji ya madafu. Punguza pombe au kuacha kabisa Sigara. Mafuta ya samaki au supu ya samaki. Na kuonana na dakitari. Punguza sukari.keki. chai. Soda. Matunda Kwa zaidi. Tafuna karoti. Tafuna vitunguu vya sina yo yote hasa swahunu.
 
Itakua hauko sex hivyo humvutii kuendelea kusex na ww .bila shaka huyo hana tatizo lolote ...tatizo lipo kwako manjumat huna... DUSHE iki lala jaribu kuinyonya uone kama ijasimama fasta.. Ongeza utundu wanaume tumetofautiana...

Aaaah wapi, Mtu ambaye hana tatizo kitendo cha kuona pichu tu haijalishi uko sexy or vipi kitu lazima kiende mnara. Usimfariji mwenzio kwa kitu kisicho cha ukweli.

Dada'ngu mtotomtamuu , jamaa yako ana matatizo, hebu muanzishie juice ya maziwa na tende mixer na uwatu, ale ndizi, pia kama anaweza mnunulie majani ya mlonge awe anachanganya kwenye uji au juice kijiko cha chai asubuhi na jioni. Pia atumie garlic mara kwa mara ikiwezekana twice a day pia. Wakati huo huo kila anapoenda chooni kukojoa mwambie awe anafanya zoezi la kegel (Anabana na kuachia mkojo repeatedly) naamini itamsaidia sana.
N.B: Wakati akiendelea na zoezi hili mwambie apumzike kula vyakula vyenye mafuta mengi, nyama nyekundu, chipsi, mayai yasiyokuwa na baba na soda soda pamoja na bia.
Ale sana organic food, hasa vile vyenye fibers, matunda, kama pombe apige atleast hizi ambazo ni asili ya spirit, konyagi etc.
Afu na wewe usipende kukaa uchi au kuvaa matenge tenge ukiwa na mwenzio, hebu pendelea kuvaa kanga nyepesii ndani hata kukiwa kuna kakufuli ambako katakuwa kanaonekana hapo lazima network ya jamaa ipande hadi 4G.
N.B2: Afanye mazoezi na aache punyeto Kama anapiga lakini (1ingawa inaonesha huenda ndio tatizo, ongea naye.)

Ikishindikana hapo amuone mzee Mzizimkavu.
 
Angekuwa na Busara asingeandika ujinga wake hapa uanjani. Pia mimi ni me why aseme me ndiye mapungifu wakati dalili zote zinaonyesha yy ndiye mwene tatizo?
Nadhani umesahau au haujaona ametuma jukwaa la JF Doctor. Hii ni kusema anatafuta ushauri wa kidaktari japo hapa sio hospital kamili.
Hakumtaja mwezie jina wala hakutaja jina lake ili kulinda heshima yao wote maana hapa ni public forum.

Ujue huyo anaweza kuwa mwanaume mwenyewe kukwepa kupigwa vijembe na matusi kama hayo kahamua kujitambulisha jinsia tofauti.

Hapa kuna watu wengi wenye maarifa tofauti. Na umri tofauti. Kuna wengine unaweza kuwaita babu au bibi. Hivyo jitahidi kutumia busara kidogo.

Kwa uandishi wako wewe ni kizazi cha kuanzia 1987 hadi 2000 hapo kati hivyo bado ni mdogo sana kiumri na hii dunia ina mengi subiri utayaona kwako au kwa nduguyo wa damu au rafiki wa karibu.
 
Afanye mazoez yakukimbia round kumi kila siku uwanjani
 
Ebu weka hiyo dawa hadharani watu wapone ndugu yangu
 
Mpeleke hospital checking fertility profile ni muhimu doctors support ndio solution nzuri
Mkuu fertiliy na kusimamisha? Unaweza kuwa unasimamisha na unapiga haswaa lakini huwezi kuzalisha sababu ya tatizo la fertility.

Jamaa tatizo lake ni Erectile dysfunction (ED).
 
Unakaa wapi?
 
Tatzo umeshalitaja alafu unauliza tena tatizo acha wehu
 
Vp mpenz wako alishapona tatizo lake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…