Fabian Vitus
JF-Expert Member
- Jul 18, 2022
- 5,828
- 7,532
Ndio manake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio manake
SauwaNdio manake
We unaona itakua imekaajeSauwa
R. [emoji13]🥲Warefu san
Tvtgcgggxolk.k.k.k.l.k.ll.l.ll.kl.lklkllkk.kklkkxxzMoney penny apo umegonga kwenyew kabisa kuna haha yakuwapa elimu wanawake kwa wanaume kuhusu mahusiano zaidi maana Dunia ya Leo ipo kasi zaidi ya tulivyo wanadam imetutawala akili kwa kiwango cha juu[emoji1787]
Mmmh hapa cjaelewa ndgu maneno ya kirumi nishasahau🤣Tvtgcgggxolk.k.k.k.l.k.ll.l.ll.kl.lklkllkk.kklkkxxz
Me naangalia YouTube hata sielewi unaongea niniWe unaona itakua imekaaje
😄😄😄Kwaiyo You tube ndio jibu lako pekeeMe naangalia YouTube hata sielewi unaongea nini
Ndio😄😄😄Kwaiyo You tube ndio jibu lako pekee
Dah hiyo ni series ya game of thrones sasa.Binti: money penny, Mimi nimepata bwana, nimekuwa nae kwenye mahusiano Kwa muda WA MIEZI 3 sasa kwa Siri
Kwa maana, sijawahi kumtambulisha Kwa ndugu, jamaa hata Marafiki zangu naona aibu sababu ni mfupi
Money penny: kwahiyo unasemaje?
Binti: Naogopa kuchekwa na watu, maana ni mfupi Yuko usawa wa kiunoni, ila ananipenda sana na naona kama anataka ndoa, nifanyaje?
Haya nyie warefu mshaurini mwenzenu afanyaje
kweli kabisaDah hiyo ni series ya game of thrones sasa.
Hongera waongo kama vijana watoto wakike wa tandale🤣🤣🤣Ndio
sawaHongera waongo kama vijana watoto wakike wa tandale🤣🤣🤣
🚶🚶🚶🚶
Mbn safari tn🚶🚶🚶🚶
Apa ndipo napoelewa kua maji na unga haviwezi kuwa sawa lazima kimoja wapo kimzidi mwenzake kwa iyo Leo watu wa fupi hawana maana hata kidogoWakati unaanza mahusiano nae kwani hukuuona huo ufupi wake?
Hata sielewiWakati unaanza mahusiano nae kwani hukuuona huo ufupi wake?
Watu Wana vilanga poriHata sielewi