Fabian Vitus
JF-Expert Member
- Jul 18, 2022
- 5,828
- 7,532
Mimba ya mwanamkeYa wenye mimba 🤔
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimba ya mwanamkeYa wenye mimba 🤔
AsanteAisee
Majibu ya mwanaume WA dar
Yamekaa ktk utaratibu ganAsante
Ni huzuniMwanaume WA Dar hujui mimba ya nan
HahaNi huzuni
Daaaa watu wafupi tunatesekaBinti: money penny, Mimi nimepata bwana, nimekuwa nae kwenye mahusiano Kwa muda WA MIEZI 3 sasa kwa Siri
Kwa maana, sijawahi kumtambulisha Kwa ndugu, jamaa hata Marafiki zangu naona aibu sababu ni mfupi
Money penny: kwahiyo unasemaje?
Binti: Naogopa kuchekwa na watu, maana ni mfupi Yuko usawa wa kiunoni, ila ananipenda sana na naona kama anataka ndoa, nifanyaje?
Haya nyie warefu mshaurini mwenzenu afanyaje
PoleniDaaaa watu wafupi tunateseka
Sema umekuwa naye katika uzinzi, acheni kuficha uzinzi kwa kutumia neno mahusiano.Binti: money penny, Mimi nimepata bwana, nimekuwa nae kwenye mahusiano Kwa muda WA MIEZI 3 sasa kwa Siri
Kwa maana, sijawahi kumtambulisha Kwa ndugu, jamaa hata Marafiki zangu naona aibu sababu ni mfupi
Money penny: kwahiyo unasemaje?
Binti: Naogopa kuchekwa na watu, maana ni mfupi Yuko usawa wa kiunoni, ila ananipenda sana na naona kama anataka ndoa, nifanyaje?
Haya nyie warefu mshaurini mwenzenu afanyaje
Kwa kwer wapigwwji wengi ata mimi sikubari🤣Ni huzuni
Unaongea na Mimi au aliandikwa Kwa storiIla uyu sista ana matukio. Hadi uwa namuonea huruma. 😁😁😁
Una risiti ya uzinzi??Sema umekuwa naye katika uzinzi, acheni kuficha uzinzi kwa kutumia neno mahusiano.
Uweee, utafanyaje saKwa kwer wapigwwji wengi ata mimi sikubari🤣
Mwenyew sikubari iyo mimba cha msingi akajifungue kwanza baada ya miezi kazaa sura halisi itakua ishaomekana ya nani😄😄Uweee, utafanyaje sa
Ukiambiwa Ivo we mwambie mbn ulishushwa bomba😄Utaskia mfupi kama nini, hivi hiyo nini inakuwaga nini?
Shauri zakoKwa kwer wapigwwji wengi ata mimi sikubari🤣
duMwenyew sikubari iyo mimba cha msingi akajifungue kwanza baada ya miezi kazaa sura halisi itakua ishaomekana ya nani😄😄
aiseeUtaskia mfupi kama nini, hivi hiyo nini inakuwaga nini?