Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
- Thread starter
- #121
usawa wa mguu wako wa katihebu ngoja kwanza....ati usawa wa kiuno chako 🤔🤔???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
usawa wa mguu wako wa katihebu ngoja kwanza....ati usawa wa kiuno chako 🤔🤔???
sijawahi kuwa mfupi kanicheki youtube utaonaUna akili fupi kama ulivyo mfupi
Amen sisterMungu haangalii sura bali moyo.
waliojibu sio wajinga lakiniMaswali ya kijinga,hakujua km ni mfupi mwanzo?
Tukupe ushauri gani tena
anakujaAje kwangu mimi 6.0 feet
Acha uongo bana, kutokupenda kunamuijiaje mtu na tayari alisha penda? Kama hakupenda maana yake hakupaswa kua naeKutokupenda sio umalaya NI uamuzi
You have the worst poor mindset ever
Unaitwa kulee kwenye kufa haraka ukizini na mwanamkeAcha uongo bana, kutokupenda kunamuijiaje mtu na tayari alisha penda? Kama hakupenda maana yake hakupaswa kua nae
Mtu ambaye alikua na mtu tayari na mala akaanza kumchambua na kutoa maamuzi ya kuachana nae na akawe na mtu mwingine huyo ni Malaya tu, afadhari atoae japo sababu ya mambo ambayo hakuyajua kwa maana ya tabia ya mtu, lakini kimo Cha mtu ambacho alikiona na kukilidhia akawa na huyo mtu, anawezaje kuja kusema mtu ni mfupi, au ni mwembamba anamuonea aibu, si angekataa toka awali.
Kwanza utuambie : Babaako na Mamaako kule Kijijini kwenu wao ni warefu ?Binti: money penny, Mimi nimepata bwana, nimekuwa nae kwenye mahusiano Kwa muda WA MIEZI 3 sasa kwa Siri
Kwa maana, sijawahi kumtambulisha Kwa ndugu, jamaa hata Marafiki zangu naona aibu sababu ni mfupi
Money penny: kwahiyo unasemaje?
Binti: Naogopa kuchekwa na watu, maana ni mfupi Yuko usawa wa kiunoni, ila ananipenda sana na naona kama anataka ndoa, nifanyaje?
Haya nyie warefu mshaurini mwenzenu afanyaje
Warefu sanKwanza utuambie : Babaako na Mamaako kule Kijijini kwenu wao ni warefu ?
Money penny apo umegonga kwenyew kabisa kuna haha yakuwapa elimu wanawake kwa wanaume kuhusu mahusiano zaidi maana Dunia ya Leo ipo kasi zaidi ya tulivyo wanadam imetutawala akili kwa kiwango cha juu🤣Acha uongo bana, kutokupenda kunamuijiaje mtu na tayari alisha penda? Kama hakupenda maana yake hakupaswa kua nae
Mtu ambaye alikua na mtu tayari na mala akaanza kumchambua na kutoa maamuzi ya kuachana nae na akawe na mtu mwingine huyo ni Malaya tu, afadhari atoae japo sababu ya mambo ambayo hakuyajua kwa maana ya tabia ya mtu, lakini kimo Cha mtu ambacho alikiona na kukilidhia akawa na huyo mtu, anawezaje kuja kusema mtu ni mfupi, au ni mwembamba anamuonea aibu, si angekataa toka awali.
Mpe RaizoniBinti: money penny, Mimi nimepata bwana, nimekuwa nae kwenye mahusiano Kwa muda WA MIEZI 3 sasa kwa Siri
Kwa maana, sijawahi kumtambulisha Kwa ndugu, jamaa hata Marafiki zangu naona aibu sababu ni mfupi
Money penny: kwahiyo unasemaje?
Binti: Naogopa kuchekwa na watu, maana ni mfupi Yuko usawa wa kiunoni, ila ananipenda sana na naona kama anataka ndoa, nifanyaje?
Haya nyie warefu mshaurini mwenzenu afanyaje
Kwaiyo wafupi mnakanyagia lkn wanawapa RahaAh sasa anafika kiunoninina maana ww urefu wako ni futi ngapi.na yy ni futi ngapi ?
Maboga mengine ni mterezo tu hayapendeki sasa ilo ua ndio utaweza kulipendaUkipenda boga penda na ua lake
Hata sijakuelewa umenijibu kitu gain mzeiya maana mm nimeuliza swali koknkiKwaiyo wafupi mnakanyagia lkn wanawapa Raha
Ndio nasema ivoHata sijakuelewa umenijibu kitu gain mzeiya maana mm nimeuliza swali koknki