Mpenzi wangu ni mfupi, naona aibu kumtambulisha, nifanyaje?

Mpenzi wangu ni mfupi, naona aibu kumtambulisha, nifanyaje?

Kutokupenda sio umalaya NI uamuzi
You have the worst poor mindset ever
Acha uongo bana, kutokupenda kunamuijiaje mtu na tayari alisha penda? Kama hakupenda maana yake hakupaswa kua nae

Mtu ambaye alikua na mtu tayari na mala akaanza kumchambua na kutoa maamuzi ya kuachana nae na akawe na mtu mwingine huyo ni Malaya tu, afadhari atoae japo sababu ya mambo ambayo hakuyajua kwa maana ya tabia ya mtu, lakini kimo Cha mtu ambacho alikiona na kukilidhia akawa na huyo mtu, anawezaje kuja kusema mtu ni mfupi, au ni mwembamba anamuonea aibu, si angekataa toka awali.
 
Acha uongo bana, kutokupenda kunamuijiaje mtu na tayari alisha penda? Kama hakupenda maana yake hakupaswa kua nae

Mtu ambaye alikua na mtu tayari na mala akaanza kumchambua na kutoa maamuzi ya kuachana nae na akawe na mtu mwingine huyo ni Malaya tu, afadhari atoae japo sababu ya mambo ambayo hakuyajua kwa maana ya tabia ya mtu, lakini kimo Cha mtu ambacho alikiona na kukilidhia akawa na huyo mtu, anawezaje kuja kusema mtu ni mfupi, au ni mwembamba anamuonea aibu, si angekataa toka awali.
Unaitwa kulee kwenye kufa haraka ukizini na mwanamke
Naona hapa unaiichosha tu
 
Binti: money penny, Mimi nimepata bwana, nimekuwa nae kwenye mahusiano Kwa muda WA MIEZI 3 sasa kwa Siri

Kwa maana, sijawahi kumtambulisha Kwa ndugu, jamaa hata Marafiki zangu naona aibu sababu ni mfupi

Money penny: kwahiyo unasemaje?

Binti: Naogopa kuchekwa na watu, maana ni mfupi Yuko usawa wa kiunoni, ila ananipenda sana na naona kama anataka ndoa, nifanyaje?

Haya nyie warefu mshaurini mwenzenu afanyaje
Kwanza utuambie : Babaako na Mamaako kule Kijijini kwenu wao ni warefu ?
 
Acha uongo bana, kutokupenda kunamuijiaje mtu na tayari alisha penda? Kama hakupenda maana yake hakupaswa kua nae

Mtu ambaye alikua na mtu tayari na mala akaanza kumchambua na kutoa maamuzi ya kuachana nae na akawe na mtu mwingine huyo ni Malaya tu, afadhari atoae japo sababu ya mambo ambayo hakuyajua kwa maana ya tabia ya mtu, lakini kimo Cha mtu ambacho alikiona na kukilidhia akawa na huyo mtu, anawezaje kuja kusema mtu ni mfupi, au ni mwembamba anamuonea aibu, si angekataa toka awali.
Money penny apo umegonga kwenyew kabisa kuna haha yakuwapa elimu wanawake kwa wanaume kuhusu mahusiano zaidi maana Dunia ya Leo ipo kasi zaidi ya tulivyo wanadam imetutawala akili kwa kiwango cha juu🤣
 
Binti: money penny, Mimi nimepata bwana, nimekuwa nae kwenye mahusiano Kwa muda WA MIEZI 3 sasa kwa Siri

Kwa maana, sijawahi kumtambulisha Kwa ndugu, jamaa hata Marafiki zangu naona aibu sababu ni mfupi

Money penny: kwahiyo unasemaje?

Binti: Naogopa kuchekwa na watu, maana ni mfupi Yuko usawa wa kiunoni, ila ananipenda sana na naona kama anataka ndoa, nifanyaje?

Haya nyie warefu mshaurini mwenzenu afanyaje
Mpe Raizoni
 
Ukishaanza kuona unaomba ushauri juu ya namna mwenzio alivyoumbwa basi huna mapenzi nae ya dhati
 
Back
Top Bottom