Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Wengine wanakaririKabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wengine wanakaririKabisa
Mungu anakuoooona😀😀😀😀 Sio kilema proMax
Kutokupenda sio umalaya NI uamuziHuyo ni Malaya kama wengine tu,kama hampendi Hadi kufikia kiwango Cha kuona aibu Sasa wa kazi gani si aachane nae? Usikute Mr mfupi ana Hela Kwa hiyo hako kabinti kanashindwa kuchomoka
Kama hatakai kutafuta wanaume warefu. Waende kufanya upasuaji wa urefuAngetaka kumuacha asiongeomva ushauri
Weka picha ya raizon tuone![]()
![]()
![]()
![]()
Wamejaa kibao,tunaishi nao hivyo hivyoPoa boss naona kumejaa pupils huku sio kama zamani tena
NI sheedahWamejaa kibao,tunaishi nao hivyo hivyo
HahahahahaNI sheedah
Hiyo iko automatic 😊Hakuna sehemu amesema amependa hela
Una akili fupi kama ulivyo mfupiKwani kama wewe NI zee, si upite, waache wenye UMRI Sawa wandike na kusoma na Ku comment
Embu kakojoe ukalale, usituletee stress za Corona sijui imekusahau vipi au penshen hulipwi.?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji174]Mungu akupe hekima busara na uvumilivu kwa sababu mpenzi wako ni kilema. Tena ukute na wewe ni flat screen, baasi mnakuwa kilema Square
Sent from my SM-G935F using JamiiForums mobile app
Wewe ulipenda nini kwake,ufupi,pesa au tunda kimasihara😂😂😂.tupe majibu ilituweze kukushauri 🤔ipasavyo🏃🏃🏃Binti: money penny, Mimi nimepata bwana, nimekuwa nae kwenye mahusiano Kwa muda WA MIEZI 3 sasa kwa Siri
Kwa maana, sijawahi kumtambulisha Kwa ndugu, jamaa hata Marafiki zangu naona aibu sababu ni mfupi
Money penny: kwahiyo unasemaje?
Binti: Naogopa kuchekwa na watu, maana ni mfupi Yuko usawa wa kiunoni,u ila ananipenda sana na naona kama anataka ndoa, nifanyaje?
Haya nyie warefu mshaurini mwenzenu afanyaje
Si atageukia ghorofa sasa.😂Mnunulie raizon ngazi tano avae
Sasa apa tusamie wapiWastan
Sote mungu anatuona sema ni kulingana na angle uliyopo 😀Mungu anakuoooona