Nimeuliza kujua kwanini umecheka kwa sauti(lol).Kwani kuna tatizo ππ
Basi sio shida zetu,, tuwaachie wenyewe wapambane nazo Sisi tufanye mambo yetu ya msingi ππ€Siyo mimi na wewe ila kwa mwenye mchumba pilipili kichaa kuna tatizo
Sent from my SM-G935F using JamiiForums mobile app
Oukay,, ni hivyo tu my friend ππ€Nimeuliza kujua kwanini umecheka kwa sauti(lol).
Basi nimefurahi kujua hilo.Oukay,, ni hivyo tu my friend ππ€
SawaππBasi nimefurahi kujua hilo.
Babaako mzazi ni mrefu au mfupi.Tuanzie hapo.Binti: money penny, Mimi nimepata bwana, nimekuwa nae kwenye mahusiano Kwa muda WA MIEZI 3 sasa Kwa Siri
Kwa maana, sijawahi kumtambulisha Kwa ndugu, jamaa hata Marafiki zangu naona aibu
Sababu NI mfupi
Money penny: kwahiyo unasemaje??
Binti: naogopa kuchekwa na watu, maana NI mfupi Yuko usawa wa kiunoni, ila ananipenda sana na naona kama anataka ndoa, nifanyaje??
Haya nyie warefu mshaurini mwenzenu afanyaje
Binti: money penny, Mimi nimepata bwana, nimekuwa nae kwenye mahusiano Kwa muda WA MIEZI 3 sasa Kwa Siri
Kwa maana, sijawahi kumtambulisha Kwa ndugu, jamaa hata Marafiki zangu naona aibu
Sababu NI mfupi
Money penny: kwahiyo unasemaje??
Binti: naogopa kuchekwa na watu, maana NI mfupi Yuko usawa wa kiunoni, ila ananipenda sana na naona kama anataka ndoa, nifanyaje??
Haya nyie warefu mshaurini mwenzenu afanyaje
Kwa hio asubirie kidogo at least miezi 6 anaweza akarefuka ?
[emoji3578]
Ana hela?Binti: money penny, Mimi nimepata bwana, nimekuwa nae kwenye mahusiano Kwa muda WA MIEZI 3 sasa Kwa Siri
Kwa maana, sijawahi kumtambulisha Kwa ndugu, jamaa hata Marafiki zangu naona aibu
Sababu NI mfupi
Money penny: kwahiyo unasemaje??
Binti: naogopa kuchekwa na watu, maana NI mfupi Yuko usawa wa kiunoni, ila ananipenda sana na naona kama anataka ndoa, nifanyaje??
Haya nyie warefu mshaurini mwenzenu afanyaje
Naam