Mpenzi wangu ni mvivu sana

Mpenzi wangu ni mvivu sana

Nishakutana na wanawake wa kuangalia movie, kusikiliza muziki na kulala. Sijamuoa hata mmoja na hawajaolewa mpk leo. Unafikiri mwanaume akikuhitaji kingono basi atakuoa. Muulize Unique Flower atakujibu
Utapigwa mashine, anapewa namba rafiki yake naye anapiga. Chain inaendelea
Pole sana mkuu..... Ukiongea kuhusu mim unatakiwa ujue kwanza nmeolewa au sijaolewa...... Ukijua moja kati ya hilo unaweza kuamua kusema chochote utakacho sawa shemeji..... Ww kama umeamua kuoa mwanamke ambae kweny uchumba hakukufulia basi ni ww........ Mwanamke kukufulia, kukupikia, sijui kukufanyia nin kabla ya ndoa hyo haitakiwi kabisa...... Kinachotakiwa kufanyika ni huyo binti kufundishwa jinsi na nini cha kumfanyia mume na ni kipi cha kufanya kuitunza familia... Ndo mana kukawa ni kitchen party ndo mana pia kabla ya kitchen party kuna vimambo mwanamke anafundishwa na somo..... Me naona ww ni moja kati ya vijana ambao aukukaa na baba kukufundisha jinsi ya kua mwanaume
 
Kwakweli, maana hapa mwanaume ndio anaonekana mvivu.
Nakumbuka wakati nipo bachela enzi hizo nikitaka kuleta demu siku hiyo unapigwa usafi wa maana, nasafisha room vizuri kabisa, inapigwa hadi perfurme... Nafua manguo yote machafu, ghetto linakua linameremeta haswaaa....!!!!
Ila naona vijana wa siku hizi wanaleta demu ghetto chafu, manguo machafu yamejaa wanategemea wasafishiwe na wafuliwe na demu.
Anyways, kweli mambo yamebadilika.
 
Nakumbuka wakati nipo bachela enzi hizo nikitaka kuleta demu siku hiyo unapigwa usafi wa maana, nasafisha room vizuri kabisa, inapigwa hadi perfurme... Nafua manguo yote machafu, ghetto linakua linamereta haswaaa....!!!!
Ila naona vijana wa siku hizi wanaleta demu ghetto chafu, manguo machafu yamejaa wanategemea wasafishiwe na wafuliwe na demu.
Anyways, kweli mambo yamebadilika.
Nashukuru sana ww unajitambua...... Watu kama ww ndio mnatakiwa muwafundishe vijana wa humu...
 
Habarini
Nipo kwenye mahausiano na mdada ila ni mvivu sana analala sanaa na akija kwangu hata kama akikuta mazingira sio rafiki wala hajishugulishi kusafisha kupika mpaka umwambie tangu tumejuana kapika kama mara 3 hv ndani ya miezi mi 5, kufua ndio hajawahi.

Na nilikua nimepanga mwakani tuanze process za kuoana, napata wasiwasi sana kuhusu yeye, kuna mtu ashapitia kitu kama hiki kweli
Aje kwako akufulie??????


Yeleeeeeeeeeeeeeewiiiii


Kinachokufanya usisafishe kufua na kupika ni nini
 
Nakumbuka wakati nipo bachela enzi hizo nikitaka kuleta demu siku hiyo unapigwa usafi wa maana, nasafisha room vizuri kabisa, inapigwa hadi perfurme... Nafua manguo yote machafu, ghetto linakua linameremeta haswaaa....!!!!
Ila naona vijana wa siku hizi wanaleta demu ghetto chafu, manguo machafu yamejaa wanategemea wasafishiwe na wafuliwe na demu.
Anyways, kweli mambo yamebadilika.
Halafu wana guts za kulalamika hawasafishiwi


Khaaaaaaaa
 
Itakuwa ana apply ile kanuni inayosema "don't be a wifey to a boyfriend .
Wanaume hawajui kuna wanawake hatuwez kamwe kukuhudumia kama mume wakati hujaoa..yaan ww ni mpenzi tuu alafu unataka nikufulie nipike nideki kwako nikupe game Kila ukitaka foolish!
 
Nakumbuka wakati nipo bachela enzi hizo nikitaka kuleta demu siku hiyo unapigwa usafi wa maana, nasafisha room vizuri kabisa, inapigwa hadi perfurme... Nafua manguo yote machafu, ghetto linakua linameremeta haswaaa....!!!!
Ila naona vijana wa siku hizi wanaleta demu ghetto chafu, manguo machafu yamejaa wanategemea wasafishiwe na wafuliwe na demu.
Anyways, kweli mambo yamebadilika.
Safi sana, namna hiyo ndio inatakiwa. Sasa hawa uvivu na uchafu tu umewajaa.
 
Dariri zote unaziona,lakini bado unaamini atabadilila ukimuweka ndani kama mke?...haya endelea.
 
Habarini

Nipo kwenye mahausiano na mdada ila ni mvivu sana analala sana na akija kwangu hata kama akikuta mazingira sio rafiki wala hajishugulishi kusafisha kupika mpaka umwambie tangu tumejuana kapika kama mara 3 hivi ndani ya miezi mi 5, kufua ndio hajawahi.

Na nilikua nimepanga mwakani tuanze process za kuoana, napata wasiwasi sana kuhusu yeye, kuna mtu ashapitia kitu kama hiki kweli.
Huyo anajielewa anakufuliaje na haujamuoa???. Akupikiea ili ugundue Nini, ukimuoa leta mrejesho kama hapiki au hafui
 
Jareboo kumoambea suala la mfanyakaze wa ndane awafolie wafifu sana nyie
 
Kuna mmoja alikuja kwangu ndani nina kila kitu akaanza oooh siwezi kupika sijui naangali ISIDINGO akasema anataka chips ninapokaa na road ni mbali nikamvutia waya boda kuja nikamwambia nenda nae road mkachue chips kuku na wine nikampa picha yote boda akafika nae road akambwaga hapo hapo. Uzuri kwangu asingeweza kuja tena maana hapajui. Akapiga cm nikamtia block.
 
Nawe acha uvivu hapo ni kwako fanya usafi. Mpenzi akufanyie majukumu km mke??? Muone afanye majukumu yake km mke. Unataka awe mke kwa boyfriend?
 
Back
Top Bottom