Mpenzi wangu simuelewi

Mpenzi wangu simuelewi

Dizain ya wanawake kama wewe mimi mwenyewe siwapendi. Na bahati mbaya nimeoa mke kama wewe. Eti kumpunguzia majukumu kazimate wake ksbb ni ke ni tatizo?.
Huyo mpenzi wako ni charming tu. Anapenda kushare na wenzie wote kazini habagui,ndivyo alivyo. Lakini wewe umechagua anaotakiwa awabague,umechagua kuwa na wivu kupitiliza. Wewe huwezi kuolewa na INSIDER MAN
 
Hello JF natumai mko poa.

Nina mpenzi wangu ambaye ananiumiza sasa sijui ni makusudi au nimeshindwa kumuelewa.

Ni hivi Mimi ni ke yeye ni muajiriwa kwenye taasisi private kubwa tu hapa Dar basi akanipa connection kwenye ofisi yao kitengo alichopo nikaanza kazi.

Kinacho nichanganya anapenda sana kuflirt na mwanamke fulani hapa kazini, nimejaribu kuongea nae aache ila ni kama hataki kuacha wanaongea story za mapenzi mbele yangu sometimes wanasogeleana na pia wanasaidiana kazi na hata kumpunguzia majukumu huyo mwanamke.

Baada ya kuchoka na kuamua kumpotezea saivi ameanza tena kuflirts na Wanawake wa department nyingine nashindwa kumuelewa ana shida gani. Ni anataka kuniumiza nimuonee wivu au ni nini?

Mtu wa design hii naweza kuishi nae vipi ukitegemea tupo ofisi Moja na sina mpango wa kuacha kazi?

Ushauri tafadhalini, nitumie njia gani na mimi nimuumize aache kunisumbua.
Mapenzi haya-workout siku hizo,tafuta tu https://jamii.app/JFUserGuide mate,utaumiza moyo bure, mapenzi tulipendana siye maanko zenu
 
Hello JF natumai mko poa.

Nina mpenzi wangu ambaye ananiumiza sasa sijui ni makusudi au nimeshindwa kumuelewa.

Ni hivi Mimi ni ke yeye ni muajiriwa kwenye taasisi private kubwa tu hapa Dar basi akanipa connection kwenye ofisi yao kitengo alichopo nikaanza kazi.

Kinacho nichanganya anapenda sana kuflirt na mwanamke fulani hapa kazini, nimejaribu kuongea nae aache ila ni kama hataki kuacha wanaongea story za mapenzi mbele yangu sometimes wanasogeleana na pia wanasaidiana kazi na hata kumpunguzia majukumu huyo mwanamke.

Baada ya kuchoka na kuamua kumpotezea saivi ameanza tena kuflirts na Wanawake wa department nyingine nashindwa kumuelewa ana shida gani. Ni anataka kuniumiza nimuonee wivu au ni nini?

Mtu wa design hii naweza kuishi nae vipi ukitegemea tupo ofisi Moja na sina mpango wa kuacha kazi?

Ushauri tafadhalini, nitumie njia gani na mimi nimuumize aache kunisumbua.
Nipe papa nikupe mbinu tumrushe roho week moja tu ashapata wivu na kuanza kuona thamani yako
 
Kwa manufaa ya sisi ambao ni washamba Huko kuflit ni nini ?

1000011399.png
 
Kuna bidada alilia sababu ya alarm ya simu. Inaita mwamba ana snooze anaendelea kulala kachoka kuamka kusoma.
Baada ya masaa 2 anaamka anakuta mtu analia kakaa sakafuni.. eti mademu wako wanakupigia unaikaba koo simu.

Acha wivu wa kitoto.
Hakuna lolote zaidi ya wivu. Acha awasaidie watu.
Wangu akiona naongea na simu afu napunguza sauti huwa ni kesi,eti unapunguza sauti ili nisisikie
 
Hello JF natumai mko poa.

Nina mpenzi wangu ambaye ananiumiza sasa sijui ni makusudi au nimeshindwa kumuelewa.

Ni hivi Mimi ni ke yeye ni muajiriwa kwenye taasisi private kubwa tu hapa Dar basi akanipa connection kwenye ofisi yao kitengo alichopo nikaanza kazi.

Kinacho nichanganya anapenda sana kuflirt na mwanamke fulani hapa kazini, nimejaribu kuongea nae aache ila ni kama hataki kuacha wanaongea story za mapenzi mbele yangu sometimes wanasogeleana na pia wanasaidiana kazi na hata kumpunguzia majukumu huyo mwanamke.

Baada ya kuchoka na kuamua kumpotezea saivi ameanza tena kuflirts na Wanawake wa department nyingine nashindwa kumuelewa ana shida gani. Ni anataka kuniumiza nimuonee wivu au ni nini?

Mtu wa design hii naweza kuishi nae vipi ukitegemea tupo ofisi Moja na sina mpango wa kuacha kazi?

Ushauri tafadhalini, nitumie njia gani na mimi nimuumize aache kunisumbua.
Pambania kombe,jifanye umejizima data flirting ni kutest mitambo,jitahidi kupotezea anza kufikiria maendeleo acha vitu vidogo na wewe jichukulie mmoja muanze kupiga story usife na tai shingoni please kuwa busy na mipango yako ya maendeleo.
 
Mlikuwa na malengo yeyote wakati mnaingia kwenye hayo mahusiano yenu ama ilikuwa ni kwaajili ya kutafuta uzoefu tu??

Maana unaweza kumpenda mtu kumbe mwenzio anakuchukulia kama sehemu yake ya kupoza nyege wakati anatafuta mtu wa chaguo lake

Fanya uchunguzi ukiona hao Wanawake ana mahusiano nao, vyema uombe kuachana naye

Siku hizi Kuna maradhi mengi, yanini uhatarishe Afya yako Kwa kuendelea kudate na mtu ambaye anaona bado hajamaliza Ujana
 
"Love doesn't think twice" Celine Dion aliimba.

Ukiona unafikiri na kuwazua mara nyingi zaidi kuhusu Upendo wa mwenza wako= Tunaita "Unamashaka kama anapendwa au lah!"
Na hii hutokea baada ya nafsi kuanza kupata mateso(jitahidi kuinusuru)

Upendo haupimi upendo: ukiona anapima kama unampenda kupitia hao watu: Basi hakupendi anatafuta sababu aliyoikosa muda mrefu ili muachane.

Upendo husikia na kuelewa "Binadamu hukosea" ukiambiwa lazima ubadirike: Unamwambia habadiriki hii maana yake nini??
👉👉Hauna Umhimu kwake, hahofii kukupoteza. "Ni kama kulipenda jiwe losiloweza kusikia wala kuhisi wakati linapoumiza wengine"

😳😳Namna nyengine ya kusema ni hivi: 👉Huyu bwana ni mkweli hataki azifiche tabia zake mbovu. Na Mungu ni wa ajabu huenda kakuleta hapo ili ujifunze kuhusu huyu binadamu unayemwita mpenzi wako.
👉Waona mbali wanasema""kama kakuchoka leo anadiliki kuflirt na wadada mbele yako: Vipi miaka miwili baada ya ndoa???
Hiki unachokiona ndio maisha yake ukiwa humwoni (possibly).

Najua ni Ngumu kumwacha unayempenda lkn kumbuka si kila unayempenda anakupenda!!

Angalia namna ya kutoka kwenye hilo Ombwe kabla haijawa usiku!!
Tafta mwanasaikolojia atakusaidia kama utaona busara kujiengua.
Nipo pia ni Psychologist
#Psychologyheals
 
Kama umeshamwambia inatosha acha kisirani. Wanaume siku zote kitu unachokilalamikia mara kwa mara ndicho huendelea kufanya. Hivyo jifanye nawe kama hilo jambo halikuumizi mbele yake sometimes unaweza kukuta wamekaa hivyo unawasalimia tu unacheka muda mwingine mtanie ushamsalimia fulani leo? Akiona una furaha kama kweli anakupenda atakufuata mzungumze ndipo utamwambia tena kwa upole tu nilikuacha ufurahie maana inaonekana ndicho kinachokupa furaha.
Maumivu hayafichwi.
Akificha leo Kesho yatageuka kuwa mateso kwa nafsi yake huenda akaleta matatizo ya akili.
Kama anaumia it's better kutafuta suruhisho. Na sio kunyamaza tu.
 
Huyo mtu wako yuko vizuri idara zote kweli ?😁😁
 
Jamani tuwe makini sana na vitu kama hivi,
Unaweza kujikuta unaingia kwenye matatizo bila kupenda na ndio shida ya watanzania wengi na inatuponza sana.
Unakuta mtu yupo seriously kabisa anasoma comment yangu badala andike ya kwake 😅
 
Kama umeshamwambia inatosha acha kisirani. Wanaume siku zote kitu unachokilalamikia mara kwa mara ndicho huendelea kufanya. Hivyo jifanye nawe kama hilo jambo halikuumizi mbele yake sometimes unaweza kukuta wamekaa hivyo unawasalimia tu unacheka muda mwingine mtanie ushamsalimia fulani leo? Akiona una furaha kama kweli anakupenda atakufuata mzungumze ndipo utamwambia tena kwa upole tu nilikuacha ufurahie maana inaonekana ndicho kinachokupa furaha.
Kinachomkera huyu demu ni ile hali yao ya kuchukulia wapenzi wao kama Appliance 😂!
Mtu akiwa ana ball na wewe anataka usiongee na watu wengine, usifurahi na watu wengine yani ni kisanga. Angekuwa wangu angekereka mara 2 maana mi hupenda ku flirt sana na ma shawty japo siwakazagi.
 
Dizain ya wanawake kama wewe mimi mwenyewe siwapendi. Na bahati mbaya nimeoa mke kama wewe. Eti kumpunguzia majukumu kazimate wake ksbb ni ke ni tatizo?.
Huyo mpenzi wako ni charming tu. Anapenda kushare na wenzie wote kazini habagui,ndivyo alivyo. Lakini wewe umechagua anaotakiwa awabague,umechagua kuwa na wivu kupitiliza. Wewe huwezi kuolewa na INSIDER MAN
Anakuchukulia kama appliance yake yani upokee commands zake zote kama anavyoifanyia simu yake ya mkononi.
 
Hello JF natumai mko poa.

Nina mpenzi wangu ambaye ananiumiza sasa sijui ni makusudi au nimeshindwa kumuelewa.

Ni hivi Mimi ni ke yeye ni muajiriwa kwenye taasisi private kubwa tu hapa Dar basi akanipa connection kwenye ofisi yao kitengo alichopo nikaanza kazi.

Kinacho nichanganya anapenda sana kuflirt na mwanamke fulani hapa kazini, nimejaribu kuongea nae aache ila ni kama hataki kuacha wanaongea story za mapenzi mbele yangu sometimes wanasogeleana na pia wanasaidiana kazi na hata kumpunguzia majukumu huyo mwanamke.

Baada ya kuchoka na kuamua kumpotezea saivi ameanza tena kuflirts na Wanawake wa department nyingine nashindwa kumuelewa ana shida gani. Ni anataka kuniumiza nimuonee wivu au ni nini?

Mtu wa design hii naweza kuishi nae vipi ukitegemea tupo ofisi Moja na sina mpango wa kuacha kazi?

Ushauri tafadhalini, nitumie njia gani na mimi nimuumize aache kunisumbua.
Ona huyu connection ya kazi kapewa bado anataka kumcontrol mwanaume hadi kazini huko kuwa na shukran wewe alafu acha mtu aishi maisha yk unamkaba kila angle wewe ndio ulimzaa?
Unadhani angekuwa akupendi angekuunganisha ofcn kwao hapohapo!
 
Back
Top Bottom