Mpenzi wangu simuelewi

Mpenzi wangu simuelewi

Sasa nifanyaje jaman 😭
Punguza wivu we mdogo wake na Leejay.

Watu wanaofanya kazi pamoja kwa muda mrefu hujenga mazoea sana na hii hupelekea kuwa karibu, kutaniana, kupiga stori za ajabu ajabu, ujinga mwingi n.k.

Haimaanishi kwavile sasa wewe umeajiriwa hapo, watu waache kuongea, kucheka, kutaniana, kusaidiana kazi nk kisa wewe.
 
Punguza wivu we mdogo wake na Leejay.

Watu wanaofanya kazi pamoja kwa muda mrefu hujenga mazoea sana na hii hupelekea kuwa karibu, kutaniana, kupiga stori za ajabu ajabu, ujinga mwingi n.k.

Haimaanishi kwavile sasa wewe umeajiriwa hapo, watu waache kuongea, kucheka, kutaniana, kusaidiana kazi nk kisa wewe.
Mimi nikitaniana na wanaume wengine anakasirika inakua ugomvi why?
 
Punguza wivu we mdogo wake na Leejay.

Watu wanaofanya kazi pamoja kwa muda mrefu hujenga mazoea sana na hii hupelekea kuwa karibu, kutaniana, kupiga stori za ajabu ajabu, ujinga mwingi n.k.

Haimaanishi kwavile sasa wewe umeajiriwa hapo, watu waache kuongea, kucheka, kutaniana, kusaidiana kazi nk kisa wewe.
Mimi naumi Sasa
 
Hello JF natumai mko poa.

Nina mpenzi wangu ambaye ananiumiza sasa sijui ni makusudi au nimeshindwa kumuelewa.

Ni hivi Mimi ni ke yeye ni muajiriwa kwenye taasisi private kubwa tu hapa Dar basi akanipa connection kwenye ofisi yao kitengo alichopo nikaanza kazi.

Kinacho nichanganya anapenda sana kuflirt na mwanamke fulani hapa kazini, nimejaribu kuongea nae aache ila ni kama hataki kuacha wanaongea story za mapenzi mbele yangu sometimes wanasogeleana na pia wanasaidiana kazi na hata kumpunguzia majukumu huyo mwanamke.

Baada ya kuchoka na kuamua kumpotezea saivi ameanza tena kuflirts na Wanawake wa department nyingine nashindwa kumuelewa ana shida gani. Ni anataka kuniumiza nimuonee wivu au ni nini?

Mtu wa design hii naweza kuishi nae vipi ukitegemea tupo ofisi Moja na sina mpango wa kuacha kazi?

Ushauri tafadhalini, nitumie njia gani na mimi nimuumize aache kunisumbua.


Ushapata kazi ? Shukuru, piga kazi, achana na MAPENZI, huyo ni Malaya Mbwa!
 
Hello JF natumai mko poa.

Nina mpenzi wangu ambaye ananiumiza sasa sijui ni makusudi au nimeshindwa kumuelewa.

Ni hivi Mimi ni ke yeye ni muajiriwa kwenye taasisi private kubwa tu hapa Dar basi akanipa connection kwenye ofisi yao kitengo alichopo nikaanza kazi.

Kinacho nichanganya anapenda sana kuflirt na mwanamke fulani hapa kazini, nimejaribu kuongea nae aache ila ni kama hataki kuacha wanaongea story za mapenzi mbele yangu sometimes wanasogeleana na pia wanasaidiana kazi na hata kumpunguzia majukumu huyo mwanamke.

Baada ya kuchoka na kuamua kumpotezea saivi ameanza tena kuflirts na Wanawake wa department nyingine nashindwa kumuelewa ana shida gani. Ni anataka kuniumiza nimuonee wivu au ni nini?

Mtu wa design hii naweza kuishi nae vipi ukitegemea tupo ofisi Moja na sina mpango wa kuacha kazi?

Ushauri tafadhalini, nitumie njia gani na mimi nimuumize aache kunisumbua.
Balance equation !kama Kuna wa kiume karibu hapo na wewe mzoee muwe mnapiga story Huku ukichapa kazi!!

ACHA kujipa stress!!

Utaona matokeo!
 
Sikia!!Lee Mamii,,Maisha Mafupi mnoo kipenzi Changu,,,kwa nini uumie kwa Ajili ya Mwingine tuko more than 7b.people in this World,,na kila mtu ni unique kwa namna alivyoumbwa just like 'a fingerprint',,,Tupa kulee huyo,,Kama hutojali tuwasiliane nasi tufliti Twaisi kwa kila pigo moja la Mioyo Yetu,,Luvv uu Leeh!!💞💞💞
 
Wewe dada mpuuzi kweli, umemkuta hapo oficini kwao, amezoana na staff wenzake, kuja wewe tu unaleta sheria zako....jamaa kazingua sana kukuleta hapo.
 
Mi naona zingatia zaidi hiyo kazi aliyokupatia .
Mambo yake muachie mwenyewe na hata ukiamua kumuacha sio ndo usahau na wema aliokufanyia coz yawezekana ni malaya ila roho nzuri anayo
 
Mi naona zingatia zaidi hiyo kazi aliyokupatia .
Mambo yake muachie mwenyewe na hata ukiamua kumuacha sio ndo usahau na wema aliokufanyia coz yawezekana ni malaya ila roho nzuri anayo
Duh aiseee kumuacha mtu unayempenda ni kazi kubwa sana
 
Kuna bidada alilia sababu ya alarm ya simu. Inaita mwamba ana snooze anaendelea kulala kachoka kuamka kusoma.
Baada ya masaa 2 anaamka anakuta mtu analia kakaa sakafuni.. eti mademu wako wanakupigia unaikaba koo simu.

Acha wivu wa kitoto.
Hakuna lolote zaidi ya wivu. Acha awasaidie watu.
Hahaha hii imetokea usiku wa jana kwangu. Ikabidi nichukue simu saa 11 asubuhi nakuanza kumuonesha Snoozing inavyofanya kazi. Kajiona mjinga kweli😂😂
 
Nipe mbinu za kumuumiza na yeye aumie
Ningemjua huyo jamaa ningemshauri akuache na ahakikishe na hiyo kazi aliyokutafutia unafukuzwa.

Yani mtu anacheka na wafanyakazi wenzake we unazunguka huku kutafuta mbinu za kumuumiza hivi una akili kweli wewe..?
 
Ningemjua huyo jamaa ningemshauri akuache na ahakikishe na hiyo kazi aliyokutafutia unafukuzwa.

Yani mtu anacheka na wafanyakazi wenzake we unazunguka huku kutafuta mbinu za kumuumiza hivi una akili kweli wewe..?
Nataka aumie mbona na Mimi naumia anaongea mambo ya mapenzi mbele yangu
 
Back
Top Bottom