Am loosing it.
Nilikua na mpenzi wangu, H, tumejuana tokea 2020. Tumepitia mengi ups and down.
Mwezi wa nane tumekua na serious ugomvi, ukapelekea tukaushiane na muda mrefu sana.
Leo kiutani mtu kanitumia screenshot yake. Anaolewa. Nakutana na yeye kanitumia email she’s now Mrs D. Kaniambia heshima itawale.
Am fuQUOTE]Ulikua mchepuko wake, hukujua, pole
Binti anakupenda badoLeo kiutani mtu kanitumia screenshot yake. Anaolewa. Nakutana na yeye kanitumia email she’s now Mrs D. Kaniambia heshima itawale.
Am fu<king loosing it.
Kaundime tena 😂😂😂😂Tulia mkuu kipindi hiki akiliyako isopofanyakazi unajikuta nawewe unamtafuka kaundime unaoa ili ujipoze na hasira kumbe unaingia cha kike
Hapo umezidiwa kete, mwenzako kasukuma kete hadi king, wewe ndio ulikua plan B kwa huyo demu.Am loosing it.
Nilikua na mpenzi wangu, H, tumejuana tokea 2020. Tumepitia mengi ups and down.
Mwezi wa nane tumekua na serious ugomvi, ukapelekea tukaushiane na muda mrefu sana.
Leo kiutani mtu kanitumia screenshot yake. Anaolewa. Nakutana na yeye kanitumia email she’s now Mrs D. Kaniambia heshima itawale.
Am fu<king loosing it.
Huyo alikuwa ameshaolewa muda mrefu ulipokuwa naye.Ilibaki kuvishwa pete na kufanya harusi tu.Endelea na mambo mengine.Am loosing it.
Nilikua na mpenzi wangu, H, tumejuana tokea 2020. Tumepitia mengi ups and...