Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We mtu mkubwa sana hapa JF... umekuaje mtoto ghafla!??Am loosing it.
Nilikua na mpenzi wangu, H, tumejuana tokea 2020. Tumepitia mengi ups and down.
Mwezi wa nane tumekua na serious ugomvi, ukapelekea tukaushiane na muda mrefu sana.
Leo kiutani mtu kanitumia screenshot yake. Anaolewa. Nakutana na yeye kanitumia email she’s now Mrs D. Kaniambia heshima itawale.
Am fu<king loosing it.
Haujajibu vibaya. Kuanzia hapo mkaushie., baada ya muda utasahau kila kitu.Nimejibu email, nimesema sorry sikua najua. All the best
Pole sana, tuliza kichwa usifanye chochote ukiwa umechanganyikiwa. Kama alikutenda itamrudia tu. Yana muda basi?Alikua chuo, kamaliza tu chuo ndio imetokea hivo, ata graduu bado ni November,
Why do you fukin care? Bro dont even respond. Ame walk away kubali, heal, move onAm loosing it.
Nilikua na mpenzi wangu, H, tumejuana tokea 2020. Tumepitia mengi ups and down.
Mwezi wa nane tumekua na serious ugomvi, ukapelekea tukaushiane na muda mrefu sana.
Leo kiutani mtu kanitumia screenshot yake. Anaolewa. Nakutana na yeye kanitumia email she’s now Mrs D. Kaniambia heshima itawale.
Am fu<king loosing it.
Ganga yajayo Mkuu inauma sana, Kuna Binti nilijuana naye toka mwaka 2009 na tulikutana sehemu tofauti na tukajikuta tumetengeneza upendo kabisa. Upendo usio kuwa na chembe ya uoga. Na yeye alikuwa wa kwanza kunipeleka kwao na alikuwa anafosi sana niende. Aisee nilioneshwa heshima ya juu na Binti aliandaa chakula cha asili yetu Wanyantuzu, Makande yale magumu kama ugali. Mlenda na ugali wa dona na Mziwa wa Mtindi. Nikala na Mshua wake mezani, Aisee ile moment imechukua muda mrefu kunitoka. Cha kushangaza alipata kazi mkoa tofauti eeh na mawasiliano yakawa mabovu mara hapokei, mara anajibu kikauzu sana. Heeeh Mwaka 2022 Nov naona kwenye status yake Ameshakuwa Mrs Somebody. Wanawake wana mipango zaidi ya milion kichwaniAm loosing it.
Nilikua na mpenzi wangu, H, tumejuana tokea 2020. Tumepitia mengi ups and down.
Mwezi wa nane tumekua na serious ugomvi, ukapelekea tukaushiane na muda mrefu sana.
Leo kiutani mtu kanitumia screenshot yake. Anaolewa. Nakutana na yeye kanitumia email she’s now Mrs D. Kaniambia heshima itawale.
Am fu<king loosing it.
Am loosing it.
Nilikua na mpenzi wangu, H, tumejuana tokea 2020. Tumepitia mengi ups and down.
Mwezi wa nane tumekua na serious ugomvi, ukapelekea tukaushiane na muda mrefu sana.
Leo kiutani mtu kanitumia screenshot yake. Anaolewa. Nakutana na yeye kanitumia email she’s now Mrs D. Kaniambia heshima itawale.
Am fu<king loosing it.
Hakuna faida yoyote utaipata. Muache aende.Nina picha zake google photos like 10GB na videos, mi nikizipost namchafua mazima
Sikushauri ufanye utoto kama huo na tena ni upumbavu. Wanawake wamejaa kibao, cha msingi tulia tuli uingie tena kwenye mawindo na huku ukimuomba Mungu utampata aliye wako. Naamini huyo mwanamke ulimpenda sana ila yeye hakukupenda au upendo uliyeyuka katikati ya safari! Pole sana mkuuNifanyeje, nilete uswahili au? Nina picha zake mbaya sana
Hilo sio chaguo lake 😅Njoo hapa 4ways upige bia mpaka saa tisa usiku ukiamka kesho utakua umeshasahau
Vitu vingine hutokea sabb ni """DIVINE PURPOSES""Am loosing it.
Nilikua na mpenzi wangu, H, tumejuana tokea 2020. Tumepitia mengi ups and down.
Mwezi wa nane tumekua na serious ugomvi, ukapelekea tukaushiane na muda mrefu sana.
Leo kiutani mtu kanitumia screenshot yake. Anaolewa. Nakutana na yeye kanitumia email she’s now Mrs D. Kaniambia heshima itawale.
Am fu<king loosing it.
Una uhakika kaolewa au kama kukuzuga tuuShit uyu manzi kazingua aisee
Wanawake ndo walivyo "anakupenda bila sababu na anakuacha bila sababu" hata ukimuuliza atasema mm nimeamua tu tuachane.Au nipotezee tu? Ila kwann kafanya ivi